ommy clear
JF-Expert Member
- May 26, 2018
- 214
- 58
Habari waungwana naomba mwenye kujua maana ya provision for doubtful debt na namna ya kui-treat "ahsante"
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Thanks mkuu blessedDoubtful debts ni madeni katika kundi la madeni yaliyo mashakani kulipwa.
Provision for doubtful debts ni kuyaonesha madeni hayo mstari pekee katika orodha ya madeni kwenye taarifa za fedha hususan mizania.
Shirika linakuwa na sera kuhusu madeni mabaya. Sera itaonesha ili deni liwe baya limecheleweshwa kulipa kuanzia siku ngapi.
Itaonesha pia asilimia ya tozo dhidi ya kiasi kilicho cheleweshwa. Kiuhasibu kiasi cha tozo kinaongeza matumizi katika hesabu ya mapato na kuongeza kiasi cha akiba ya madeni mabaya katika mizania sehemu ya mtaji au mstari chini ya madeni kwa kupunguza.
Kuelewa kwa kina suala hili, unahitaji kukaa na mtaalamu mhasibu na kutumia maandishi yaani kuoneshana jinsi kanuni ya MPE na MTOE inavyofanyiwa kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Thanks much mkuu, ila Nina swali kidogo hivi inakuaje mpaka sometimes provision for doubtful inaingia kwenye other income hiii hua inakua kuaje mpaka iwe treated as other income ? "Ahsante"OK, Kwente trial balance kuna debtors 1000 alafu kuna bad debts 50 pia kuna provision of doubtful debts 110,
Hii inamaanisha Debtors ni wadeni wetu tumewapa bidhaa kwa mkopo hii ni current asset
Dad Debts Hawa ni wadeni ambao wameshidwa kulipa au kumalizia madeni yao kwetu nii ni expenses ina kaa kwenye income statement
Provision hapa zipo mbili ya kwenye Trial balance na kwenye adjusted information, mfano Trial balance Provision ni 110 lkn kwenye adjusted in 20% ya total debtors. ukiwa unarekord hii unacalculate 20% ya debtors (kwa mfanohuu unapata 200) unachukua 200 - 110(hii ipo kwe trial balance) ukipatajibu unaliweka kwenye expenses kwenye income alafu unajumlisha 200+110 unaenda kuzitoa kwenye Debtors kwenye balance sheet
Kuna provision for douptful debt za namna mbili, kuna increase na decrease of provision for douptful debt, ikiongezeka kama jamaa alivyoelezea it means imeongezeka expenses kwa entity husika, so upande wa expenses unaongezeka kwa hiy difference kwa kuandika increase of prov. for d.debts, but ikipungua it means wadeni wamepungua na itawekwa kama income, kweny P/L ACC Kwa hiy difference...kama nimekosea nirekebishweThanks much mkuu, ila Nina swali kidogo hivi inakuaje mpaka sometimes provision for doubtful inaingia kwenye other income hiii hua inakua kuaje mpaka iwe treated as other income ? "Ahsante"
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante mkuuKuna provision for douptful debt za namna mbili, kuna increase na decrease of provision for douptful debt, ikiongezeka kama jamaa alivyoelezea it means imeongezeka expenses kwa entity husika, so upande wa expenses unaongezeka kwa hiy difference kwa kuandika increase of prov. for d.debts, but ikipungua it means wadeni wamepungua na itawekwa kama income, kweny P/L ACC Kwa hiy difference...kama nimekosea nirekebishwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Ivi ukikisia kwamba hayatolipa ikatokea kuna baadhi yakalipwa si itakua ni faida kwa kampuni au?Provision for doubtful debts ni makisio ya madeni unayohisi hayatolipwa kabisa kwa sababu kadhaa ikiwemo kufilisika kwa unao wadai
Madeni haya huwa yanafutwa kabisa kwenye vitabu vya hesabu kama madeni
Ivi kabla ya ku-calculate 20% ya debtor inabidi uchukue kwanza debtor - bad debtor then ndo utafutie hio 20% au?OK, Kwente trial balance kuna debtors 1000 alafu kuna bad debts 50 pia kuna provision of doubtful debts 110,
Hii inamaanisha Debtors ni wadeni wetu tumewapa bidhaa kwa mkopo hii ni current asset
Dad Debts Hawa ni wadeni ambao wameshidwa kulipa au kumalizia madeni yao kwetu nii ni expenses ina kaa kwenye income statement
Provision hapa zipo mbili ya kwenye Trial balance na kwenye adjusted information, mfano Trial balance Provision ni 110 lkn kwenye adjusted in 20% ya total debtors. ukiwa unarekord hii unacalculate 20% ya debtors (kwa mfanohuu unapata 200) unachukua 200 - 110(hii ipo kwe trial balance) ukipatajibu unaliweka kwenye expenses kwenye income alafu unajumlisha 200+110 unaenda kuzitoa kwenye Debtors kwenye balance sheet
Hizi zinaitwa pia Toxic debitProvision for doubtful debts ni makisio ya madeni unayohisi hayatolipwa kabisa kwa sababu kadhaa ikiwemo kufilisika kwa unao wadai
Madeni haya huwa yanafutwa kabisa kwenye vitabu vya hesabu kama madeni
Mkuu, hii umeitoa wapi? Ni mambo ya kihasibu hayo.Habari waungwana naomba mwenye kujua maana ya provision for doubtful debt na namna ya kui-treat "ahsante"
Sent using Jamii Forums mobile app
Namimi nataka kua muhasibuMkuu, hii umeitoa wapi? Ni mambo ya kihasibu hayo.
