Chukulia uko mnadani na mnadi anaanza kuuza ngombe wake kwa kutaja bei ya kianzio labda shilingi 500 wanunuzi mpo zaidi ya 20hivi sasa mnaanza kupambana na bei mwingine atasema 600 mwingine 1000 mwingine 1200 na kuendelea mwenye pesa nyingi atakabidhiwa bidhaa kulingana na utaratibu ...so hiyo ndo place a bid ...sijui kama ntakuwa nimekusaidia?