Wakati unajaza form za maombi kuna sehemu ulijaza jina la mdhamini wako sasa ulitakiwa kuambatanisha nakala (copy) ya kitambulisho chake wakati unarudisha formSijaelewa kitambulisho kipigwe kopi
Wanahitaji namba tuu ya kitambulishoWakati unajaza form za maombi kuna sehemu ulijaza jina la mdhamini wako sasa ulitakiwa kuambatanisha nakala (copy) ya kitambulisho chake wakati unarudisha form
Wanahitaji namba tuu ya kitambulisho
Nakala ya kitambulisho cha mdhamini kiwe certified kwa hakimu au wakili then unaki2ma kwa EMSHabari zenu nimeomba mkopo nimeambiwa NO GUARANTOR ID anaejua naomba anisaidie
Naomba kama hauna uhakika usitoe majibu yanayoweza kupotosha! Kinachohitajika ni nakala ya kitambulisho cha mdhamini wako na kiwe kimethibitishwa na kugongwa muhuri wa hakimu au wakili.Wanahitaji namba tuu ya kitambulisho
Watu mnakuwaje mnalishana matango pori??Wanahitaji namba tuu ya kitambulisho