Huwezi kuahirisha muda,mfano hii sentensi, "tumeahirisha mpaka muda/wakati mwingine" muda ni kitu kinachokwenda mbele tu na kamwe hakirudi nyuma,jaribu kutizama saa yako ya mkononi au ya ukutani,jinsi ule mshale unavyokwenda ndio na muda unavyokwenda.