Uhuru24 JF-Expert Member Joined May 2, 2015 Posts 4,477 Reaction score 5,039 Jul 6, 2015 #1 Mtu anaposema fimbo ya mbali haiuwiii nyoka ana maana gani
KikulachoChako JF-Expert Member Joined Jul 21, 2013 Posts 19,769 Reaction score 39,533 Jul 6, 2015 #2 Ana maana kuwa msaada unaofaa kutatua shida za ghafla ni ule wa karibu na haraka....
Barraza JF-Expert Member Joined Oct 10, 2011 Posts 481 Reaction score 270 Jul 6, 2015 #3 Ana maana kuwa ili uweze kuua nyoka hakikisha uko na fimbo karibu.
BansenBurner JF-Expert Member Joined Feb 16, 2015 Posts 6,809 Reaction score 5,779 Jul 6, 2015 #4 Inamaa kwamba Nyoka hawezi subiria fimbo itoke mbali ije kumuua.
Aswadiky Member Joined Jul 5, 2015 Posts 61 Reaction score 7 Jul 7, 2015 #5 Jambo la mafanikio ni lililo karibu zaidi
tamimusalim JF-Expert Member Joined Jun 17, 2014 Posts 1,822 Reaction score 499 Jul 7, 2015 #6 Mbona semi inazieleza tafuta snake kaa mbali mpige na fimbo kama utamuuwa
Francis Dhuo Member Joined Feb 25, 2014 Posts 87 Reaction score 13 Jul 7, 2015 #7 vitendo ni bora kuliko maneno...!!
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 166,769 Reaction score 185,218 Jul 7, 2015 #8 Msaada kutoka mbali hausaidii kama msaada wa karibu.