Wana JF naomba mnisaidie huwa naangalia KBC TV na katika taarifa zao wanakipindi wanakiita Taarifa za Magatuzi,Nimejaribu kufuatilia ili hata nibahatishe lakini sipati picha.Nini maana ya Magatuzi?
Wana JF naomba mnisaidie huwa naangalia KBC TV na katika taarifa zao wanakipindi wanakiita Taarifa za Magatuzi,Nimejaribu kufuatilia ili hata nibahatishe lakini sipati picha.Nini maana ya Magatuzi?
sina hakika na hilo neno ulilolisema, ila tuzungumzie UGATUZI, ni mgawanyo wa madaraka kutoka ule mfumo wa kitaifa, yaani serikali kuu kuwa na maamuzi yote, hadi mfumo wa kimajimbo, yaani serikali za majimbo kuwa na mamlaka zaidi ya kuamua mambo katika eneo lao. by the way hilo neno hutumika sana kwenye kiswahili cha huko jamhuri ya kenya.
kenya imegawanyika katika majimbo arobaini na saba yaani majimbo hivyo wakisema ''habari za magatuzi'' maana yake ni habari za majimbo au habari toka majimboni. I stand to be corrected
kenya imegawanyika katika majimbo arobaini na saba yaani majimbo hivyo wakisema ''habari za magatuzi'' maana yake ni habari za majimbo au habari toka majimboni. I stand to be corrected