Wadau naomba mnisaidie kujua maana hasa ya DISTINCTION, CREDIT na PASS. Nina mdogo wangu amemaliza Ualimu na tunajaribu kupata maana ya ufaulu uliowekwa imekuwa ni shiiiida tu.
Matokeo ya Ualimu GPA ya 4.1 imeeitwa CREDIT wakati ACSEE GPA 3.7 ni Distinction. Ha Ha Ha Ha, BRN ni chiboko ya Kidato cha sita manake mwenye GPA ya 1.7 kapewa CREDIT wakati mwalimu mwenye GPA ya 3.3 kapewa kiwango cha chini kabisa cha ufaulu cha PASS. Jamani hiki ni nini, tunasema alimu hawana uwezo kumbe Kidato cha Sita wamewezeshwa na hata Walimu wakiwezeshwa wataonekana wanaweza.
Tizama Kidato cha Sita http://necta.go.tz/matokeo/2015/ACSEE2015/s0155.htm
Linganisha na Ualimu http://necta.go.tz/matokeo/2015/GATCE2015/510.htm
Matokeo ya Ualimu GPA ya 4.1 imeeitwa CREDIT wakati ACSEE GPA 3.7 ni Distinction. Ha Ha Ha Ha, BRN ni chiboko ya Kidato cha sita manake mwenye GPA ya 1.7 kapewa CREDIT wakati mwalimu mwenye GPA ya 3.3 kapewa kiwango cha chini kabisa cha ufaulu cha PASS. Jamani hiki ni nini, tunasema alimu hawana uwezo kumbe Kidato cha Sita wamewezeshwa na hata Walimu wakiwezeshwa wataonekana wanaweza.
Tizama Kidato cha Sita http://necta.go.tz/matokeo/2015/ACSEE2015/s0155.htm
Linganisha na Ualimu http://necta.go.tz/matokeo/2015/GATCE2015/510.htm