Nini maana ya 'child adoption'?

Nini maana ya 'child adoption'?

Blessed Son

Member
Joined
Apr 23, 2015
Posts
34
Reaction score
23
Naomba kujuzwa maana ya hilo neno maanq mara nyingi nimekuwa nkisikia kuwa mtu fulani anataka "kuadopt" mtoto
 
Ni kumchukua mtoto ambae hujamzaa akawa mwanao, akapata haki zote kama mwanao wa kumzaa na akawa sehemu ya warithi wako... Wanasema 'kuasili' kwa Kiswahili.
 
Ni kuasili mtoto, mtoto asiye wako wa kuzaa unamchukua kisheria anakuwa wako.

Kwann watu wanaadopt?

1.kuzaa watoto wa jinsia moja

2.kutokuwa na uwezo wa kuzaa/kuzalisha.

3. Mapenzi/upendo n.k mtoto ambaye umem-adopt huwez kumuona nikosa kisheria.

Pia mtoto unayem-adopt lazima umzidi miaka 21. Atapata haki sawa kama mtoto wako wa kuzaa. Sifa za ku-adopt lazima uwe na uwezo wa kumtunza ikiwa ni pamoja na kumsomesha mtoto unayetaka kum-adopt n.k
 
Ni kuasili mtoto, mtoto asiye wako wa kuzaa unamchukua kisheria anakuwa wako.

Kwann watu wanaadopt?

1.kuzaa watoto wa jinsia moja

2.kutokuwa na uwezo wa kuzaa/kuzalisha.

3. Mapenzi/upendo n.k mtoto ambaye umem-adopt huwez kumuona nikosa kisheria.

Pia mtoto unayem-adopt lazima umzidi miaka 21. Atapata haki sawa kama mtoto wako wa kuzaa. Sifa za ku-adopt lazima uwe na uwezo wa kumtunza ikiwa ni pamoja na kumsomesha mtoto unayetaka kum-adopt n.k
Mkuu, huu ufafanuzi ni kwa mujibu wa Sheria zetu? Huku huwa unamchukua mtoto, mnalimaliza kifamilia na maisha yanaanza... Ubaya wake ni kuwa mtu akijisikia anaweza kutelekeza mtoto muda wowote!
 
Mkuu, huu ufafanuzi ni kwa mujibu wa Sheria zetu? Huku huwa unamchukua mtotot, mnalimaliza kifamilia na maisha yanaanza... Ubaya wake ni kuwa mtu akijisikia anaweza kutelekeza mtoto muda wowote!


Ndiyo ni kwamjibu wa sheria zetu.
Kuchukua kienyeji watu wanakosea ila taratibu zake zipo japo kwa hapa TZ hili zoezi la kuadopt c common sana.taratibu n nyingi hapo nimetaja baadh tu.Kama unataka kufanya hivyo waone afisa ustawi wa jamii. Watakupa utalatibu. Au utawasiliana na mm naaweA kukusaidia.
 
Back
Top Bottom