Nini maana hii ndoto?

Nini maana hii ndoto?

BUMIJA

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2011
Posts
6,182
Reaction score
11,779
Wasalaam,kuota ni kawaida kibinadamu.Ila natamani nijue maana hii ndoto.
Nimeota nimeshika Hot Pot ina Pilau nzuri sana.Nikawa napita njiani watoto wadogo wananifuata wanataka niwape.
Nikawa nawapa kidogo ila bado wanataka na wananifuata.
Wadau nini maana yake
 

Attachments

  • images (71).jpeg
    images (71).jpeg
    61.1 KB · Views: 12
Hakuna maana yoyote .
Ndoto mara nying ni revision(marejeo) ya matukio na mawazo uliyopitia sku nzima kabla ya kulala .hakuna ushahidi wowote kama ndoto zina maana,kinyume na hapo utaanza kujijengea fikira za kiimani .ila ndoto sio kitu cha kukufanya uwaze sana.punguza mawazo potofu tengeneza amani ya moyo.
NOTE:UFUE MASHUKA 😂
LALA PAZURI HUWEZI OTA UPUUZI ZAIDI YA UTAJIRI 🙌🙁
 
Wasalaam,kuota ni kawaida kibinadamu.Ila natamani nijue maana hii ndoto.
Nimeota nimeshika Hot Pot ina Pilau nzuri sana.Nikawa napita njiani watoto wadogo wananifuata wanataka niwape.
Nikawa nawapa kidogo ila bado wanataka na wananifuata.
Wadau nini maana yake
Kama ni ya Mchana ni mawenge tuu,kama ni ya usiku jua utafanikiwa sana ila inaonyesha uchoyo,Hawa kama ulivyojaaliwa na Mwenyezi Mungu!
 
Ina maana mafisadi wanavyojipendelea bila kujali wengine. Means wewe ni CCM na hao watoto ni watu wa tabaka la chini huku vijijini.
No Reforms no election
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom