Msokwa1 JF-Expert Member Mar 2, 2018 470 511 Dec 18, 2020 #1 Ninini kitatokea endapo nikakodi fremu na kuanzisha biashara ya video library bila ya kuwa na leseni ya biashara? what will happen?
Ninini kitatokea endapo nikakodi fremu na kuanzisha biashara ya video library bila ya kuwa na leseni ya biashara? what will happen?
kinywanyuku JF-Expert Member Jul 13, 2015 3,563 2,628 Dec 18, 2020 #2 Mcqueenen said: utauza sana Click to expand... umepinda boss
Msokwa1 JF-Expert Member Mar 2, 2018 470 511 Dec 18, 2020 Thread starter #4 Enzyme 02 said: hapana tatizo fungua tu. Click to expand... mkuu hakuna changamoto zozote naweza kumbana nazo?
Enzyme 02 said: hapana tatizo fungua tu. Click to expand... mkuu hakuna changamoto zozote naweza kumbana nazo?
Smart911 Platinum Member Jan 3, 2014 119,505 142,286 Dec 18, 2020 #5 Itafika kipindi utakwama... Cc: mahondaw
Msokwa1 JF-Expert Member Mar 2, 2018 470 511 Dec 18, 2020 Thread starter #6 kwa nini nitakwama bro embu dadavua tuone Smart911 said: Itafika kipindi utakwama... Cc: mahondaw Click to expand...
kwa nini nitakwama bro embu dadavua tuone Smart911 said: Itafika kipindi utakwama... Cc: mahondaw Click to expand...