Wakuu hali nchini siyo nzuri kwani serikali iko taabani kila eneo yaani kifedha, kiutawala nk. Lakini mkuu yuko brazil anakagua mashamba ya nyanya, yaani ni ajabu haijapata tokea. Kama rais wetu aliahirisha ziara ughaibuni kwa sababu ya kifo cha kanumba anashindwa nini kurudi nyumbani kutatua matatizo yote haya?