Kambi ya Fisi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,635
- 22,304
Habari za uzima uzima wapendwa
Leo nipo na swali kama linavyosomeka hapo juu mie sio mfuatiliaji mzuri wa hivi vyama vya siasa ambavyo havieleweki vizuri, sasa kwa siku za hivi karibuni kumekuwepo na mgombea urais kwa tiketi ya CHAUMA ambaye hata chaguzi zilizopita aliwahi kushiriki huyu mheshimiwa Hashimu Rungwe kama sijakosea
Sera za kulisha watanzania ubeche endapo atachaguliwa kuwa rais zilinifanya nijiulize maswali mengi kuhusu CHAUMA nikadhani labda kirefu cha CHAUMA = Chama cha Ubwabwa na Maakuli yaani bado natafuta kirefu cha hili jina la CHAUMA naomba anayejua anipe kirefu chake
Leo nipo na swali kama linavyosomeka hapo juu mie sio mfuatiliaji mzuri wa hivi vyama vya siasa ambavyo havieleweki vizuri, sasa kwa siku za hivi karibuni kumekuwepo na mgombea urais kwa tiketi ya CHAUMA ambaye hata chaguzi zilizopita aliwahi kushiriki huyu mheshimiwa Hashimu Rungwe kama sijakosea
Sera za kulisha watanzania ubeche endapo atachaguliwa kuwa rais zilinifanya nijiulize maswali mengi kuhusu CHAUMA nikadhani labda kirefu cha CHAUMA = Chama cha Ubwabwa na Maakuli yaani bado natafuta kirefu cha hili jina la CHAUMA naomba anayejua anipe kirefu chake