kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,633
- 7,021
Binafsi huwa nawakubali sana watu wenye uwezo mkubwa wa kufikiri ambao haufungamani na upande wowote. Ufikiri wake ni ule unaomuwezesha kufikiria jambo na kulipambanua hadi likafikia mwisho wake na hatimaye kupata suluhisho la tatizo lililokuwa likimkabili katika mazingira yake. Ufikiri huo ni ule unaolenga pande zote yaani mlengo hasi na mlengo chanya ambao hautomfanya muhusika kujutia maamuzi yake. Mfano, wengi huwa tunakuja kutambua baadaye kuwa la hasha, ningefanya hivi yasingetokea haya!
This is purely politics!Kama unaogopa risk hautafika mbali!Kukosea kwa msomi ni changamoto ya kumpeleka mahali sahihi na si tishio la kumkatisha tamaa na kumuacha akijuta!
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums