Nini kinamliza mwanamke kitandani?

Nini kinamliza mwanamke kitandani?

Status
Not open for further replies.
tunalia kwa mengi

  • kibamia
  • dushe kubwa maumivu
  • hujui kukuna
  • utamu umezidi
  • jamani mbona huyu anachovya chovya kama anakula ugali nashindwa kusema inabidi nilie...
  • shombo
  • mwingine anaongea sana ooh we mtamu eeeeh nani yako tamuuuu oohh baby nakupenda hadi unakosa umakini ili kwenda sawa inabidi ulie..
Speaking from practical experience! Uko vzr sana miss chagga . Ngoja miss charming lady na miss charming nao waje tusikie maoni yao.
 
Ozalaka nayo tres impolie,mpo na nini osalaka boooongo?olekani direct a sambree a coucher?
 
Sometimes tunalia kwa mengine na sio raha mf. Naenda kusex na mwanaume nikitegemea shughuli ya haja then tunafika ndani bao moja tu chaliii teba asivyo na haya sauti inatoka 'baby me nimechoka next time' na saa hizo mie ndo utamu ndo ulikuwa unaanza sasa ndo unaposhikwa na hasira unaona ulie tu! Acheni kula chips wanaume mnatufanya tucheat jamani.. Nimekuletea mashine piga kazi mpk wese liishe nikitoka hapo nakuamika huku nimepiga magoti
sijaelewa hapa naomba ufafanuzi, ina maana mnalia baada ya kumaliza? mie nilifikiri katikati ya gemu. ufafanuzi pls
 
*Inaweza ikawa tunalia ili kuwapa angalau moyo nawe ujione kidume unafanya kazi ya maana

*Inaweza ikawa maumivu

*Inaweza ikawa utamu kolea
Asilimia kubwa ni kuwatia moyo tu ili wajione na wao vidume, kwa sababu wanawake tuna upendo wa kweli tunawavumilia na kuwafichia siri zao.
 
Tukiacha utapeli tendo linahitaji zaidi ushirikiano.. ....mwanamme muwajibikaji lengo lake kubwa ni kumridhisha mwenza wake.... Ikiwa mwanamke atakuwa mkweli lengo hili litafikiwa hata kama si kwa siku ya mwanzo. Lakini ikiwa mwanamke anatoa vilio vya uongo then inakuwa vigumu kwa mwanamme kuweza kufikia lengo. Ndio maana uhusiano unatakiwa uwe wa kudumu ili mwanamme aweze kumstudy mwenza wake na afahamu zile sehemu zake sensitive.... Mwanamke akiwa anaonyesha hisia fake hata miaka 10 haitoshi kumstudy na kwa hali "kumfikisha" itakuwa tabu .Mapenzi ni ushirikiano tuwe wakweli kwa wenza wetu
 
Imekaa njema zaidi yakukuelewa,,,, ila elezea kidogo kibamia inakuaje yan


Big Up xaanaa Miss flan......
Ukiona hivyo basi na wewe utakuwa na kibamia
Saikolojia iko wazi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom