Nini kinakuumiza kichwa katika biashara yako/zako?

kweli wewe ndio boss mtu anakuja kuomba kazi anakwambia anaomba "Ajishkize" na kweli ukiangalia unahitaji mfanyakazi kama yeye,vipi utamuajiri au utamtakia safari njema huko aendako?
Mkuu siwezi kuajiri mtu anakuja kwangu kujishikiza. Mtu mwenye mentality ya kujishikiza hawezi kuwa na uchungu na kazi.
 
Kuna bosi mzuri sana somewhere ana shida ya mfanyakazi mzuri na mwaminifu sana

Kuna kijana/binti (mfanyakazi) mwaminifu na mzuri sana somewhere ana bosi kimeo balaa

Hii ni changamoto kubwa sana
 
Yeuwii natamani kufahamu kuhusu hayo matunda mkuu, huenda tunayatumia na hatujui kama yana madhara 😪
 
You're right chief.
 
Chief mtu anapozungumza haimaanishi yote ni ya msingi la muhimu ni kuchukua yaliyo ya muhimu tu, naona umemshukia kama Mwewe aliyeona kuku!?

Ila twende mbele turudi nyuma kupata mfanyakazi sahihi ni changamoto sometimes ukiwa unabiashara jitahidi kuwa mstari wa mbele kwa kila jambo.
Wasomi wanaita "balance/business score card",
yaani kama vile ukiwa una drive magari haya ya kisasa pakiwa na tatizo kwenye gari basi kwenye dashboard pale panaonyesha tatizo lilipo iwe kwenye tairi,engine au popote. sasa kwenye aspect ya kibiashara ishu za fedha, ununuzi, kodi, wafanyakazi, masoko, uzalishaji na usambazaji vyote yapaswa uvijue na uvisimamie vizuri, otherwise unahitaji watu sahihi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…