Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 11,319
- 17,809
Kasubiria uteuzi kachoka ..Habari imeletwa kishabiki Sana hii.
Tusiishi kwa mazoea.
Kasubiria uteuzi kachoka ..Habari imeletwa kishabiki Sana hii.
Haijawahi kutokea Tanzania yetu ikashuhudia haya yanayoendelea. Kwamba uchaguzi unaisha mwezi mzima hakuna Cabinet? Baraza la mawaziri! Hili sio ndio serikali?....