Nini kinafanya mahusiano yadumu?

Nini kinafanya mahusiano yadumu?

Kama ni hivyo basi jibu la thread yako ni kweli
Mmoja kati ya wawili awe weak mwingine awe strong ndio mahusiano yatadumu

Ila binafsi naona ili mahusiano yadumu sana sana ni upendo,uaminifu,uvumilivu na heshima
 
kuna jiran hapa wamekutana baba msukuma na mama mzaramo sasa ikifika saa 2 usiku utasema sio mtu na mkewe wanavyobishana... mpaka saa 5 usiku nyie laleni wao kazi moja!
mkuu sipati picha
 
mkuu sipati picha


emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
 
Yani we toa Pesa mahusiano yatadumu Hata kama unamuuzi mpenzi wako,yani toa noti tu
 
Hivi ni kweli kwamba strong man lazima apate weak woman ili mausiano yadumu , Hivyo hivyo kwa wanawake lazima apate weak man ili mausiano yadumu ?
Sio kwenye mahusiano tu hata kwenye maisha ya kawaida mkiwa wawili tu lazima mmoja awe kiongozi iwe kwenye mishe au wapi mmoja awe mjanja na mwingine akubali kuwa boya ili mambo yaende
 
Back
Top Bottom