The End..
JF-Expert Member
- Aug 13, 2013
- 4,362
- 3,846
kwan unavyojiona wewe ni weak au strong..!!!!Why?
Mwenzako najaribu kupata jibu pia
kwan unavyojiona wewe ni weak au strong..!!!!Why?
Mwenzako najaribu kupata jibu pia
Kati yenu kuna ambaye ni weak na mwingine strong?
Kama ni hivyo basi jibu la thread yako ni kweliNdio
Kote kote nipoWewe upo kundi gani ? ?




kuna jiran hapa wamekutana baba msukuma na mama mzaramo sasa ikifika saa 2 usiku utasema sio mtu na mkewe wanavyobishana... mpaka saa 5 usiku nyie laleni wao kazi moja!





mkuu sipati pichaYaan ww unafit kote hahaha ntakutafta mkuu
Nitakutafuta backYaan ww unafit kote hahaha ntakutafta mkuu

Nitakutafuta back![]()
ipo njiani kukubebaYani we toa Pesa mahusiano yatadumu Hata kama unamuuzi mpenzi wako,yani toa noti tu
Sio kwenye mahusiano tu hata kwenye maisha ya kawaida mkiwa wawili tu lazima mmoja awe kiongozi iwe kwenye mishe au wapi mmoja awe mjanja na mwingine akubali kuwa boya ili mambo yaendeHivi ni kweli kwamba strong man lazima apate weak woman ili mausiano yadumu , Hivyo hivyo kwa wanawake lazima apate weak man ili mausiano yadumu ?