Evelyn Salt
Platinum Member
- Jan 5, 2012
- 77,672
- 167,738
Sasa kama drama za ule msiba wa mwanae, kweli jamani ufiwe na mtoto hizo nguvu za maigizo unapata wapi mara mwili unasubiriwa airport mara kaupenyeza mapema πNdo kinamgharimu hukoo hata kama kweli ana shida watu wanamuona msanii tu
Kwanza sijui kapatana na mama ake Sasa hv
Alafu Mungu mwenyewe anaenda kumuitia Instagram au mambo yamebadilika Mungu anapatikana huko sie hatujui sisi tunajua Mungu yuko sirini kumbe watu wanawasiliana naye moja kwa moja na hawatwambiiMungu anamuadhibu kwasababu anamkufuru. Anajifanya mtu wa mungu lakini matendo na muonekano wake ni wa ki-devil kabisa.
Namuombea mtoto apone lakini Muna aache showoff za kidevil devil halafu hapo hapo anajifanya mtu wa Mungu.
Wokovu ni nini? Aliokoka hatukatai, baada ya hapo akaenda zake kumkosoa Mungu alivyomuumba akajichonga shape, akaweka na dimple ya shavu moja, alafu sijui baadaye akaitoa, na hiyo ni ndani ya wokovu anaotutangazia....ameokoka Yesu wake anamuandikia slides Instagram ππππ nyie acheni banaHuyu aliokoka shuhuda yake IPO kwenye kitabu Cha NGUVU INAYOBADILISHA
NI project inayoeleza shuhuda za watu mbalimbali waliookoka zamani walikuwa wachawi mashoga wafanyabiashara n.k ni project Kali Sana Wana blog account social n.k kitabu nilikiopata hard copy NGUVU INAYOBADILISHA
Hivi zile drama za ule msiba wa mtoto wake unazikumbuka ama ulizisikia? Mtoto anauma, watu tunapata majaribu ndiyo, ila sasa huyo dada ana nguvu wakati wote, kwenye mitandao baada tu ya kuzika akaenda zake kuchonga shape na kutengeneza sura aaahhh weee unacheza na kufiwa mtoto acha kabisaSiamini km kweli katoa kafara hii dunia ina mambo sana majaribu yanawakuta watu makubwa mnoo Kwa watoto,siwezi kommenti kwenye hili
Mimi niliuguza mwanangu sina hamu ,lau kama ningekua tajiri wangesema nataka kutoa kafara nashukuru amepona ila wanaadamu ni wabaya mnooo
Huyo Hawa Mussa ukute mchawi ndo yeye,huwezi mfata mtu anaeuguza mwanawe na alifiwa na mwanawe ukamuambia maneno mazito km hayo,iwe kweli au siyo kweli hata kama rafiki yake alipaswa atafute njia nzuri kumfariji
Mtoto anauma jamani Yarraii...viatu vya Munnah havitoshi kabisa na huyo Munna Hana huo utajiri wa kutisha kutoa kafara siwezi msemea ila sitaki kuamini kama anaweza fanya hvyo maana nae anahangaika na maisha kama sisi labda hyo kwenda kwa waganga kufanya upuuzi wao kusafisha nyota na mvuto ila jamani Kafara mwehh sio kitu kidogo atiii
Na simlaumu kuposti IG hii dunia kila mtu ana namna yakupata relief ktk mambo yake ndo maana wengine wanaleta JF ili kupata faraja ktk mioyo yao
Mungu amponye mtoto wake.
Kama mama wa mtoto, mtoto yuko kwenye critical illness unapata muda wa kumuandikia msg Yesu, na kuangalia watu wansema nini na kuwaquote hahahah wasitutanie bana anayejua kinachoendelea aje atuambieYesu anaambiwa "hii slide ya pili YESU" π
Ndiyo yaliyotokea kwa mtoto wa Muna?Mtoto alikua ananyonya kidole
Akashauriwa amuweke plasta,akaweka baadae pakavilia maji pale kwa kidole akamtoa plasta,yule mtoto kile kidole akaanza kukinyonya Tena,ndo kimekua cheusi kimemletea madhara pia inasemekana kuna uwezekano wa kukatwa vidole yule mtoto Kwa kua vimekua vyeusi tii like vimeingia sumu
Tatizo sio kupost tu.Siamini km kweli katoa kafara hii dunia ina mambo sana majaribu yanawakuta watu makubwa mnoo Kwa watoto,siwezi kommenti kwenye hili
Mimi niliuguza mwanangu sina hamu ,lau kama ningekua tajiri wangesema nataka kutoa kafara nashukuru amepona ila wanaadamu ni wabaya mnooo
Huyo Hawa Mussa ukute mchawi ndo yeye,huwezi mfata mtu anaeuguza mwanawe na alifiwa na mwanawe ukamuambia maneno mazito km hayo,iwe kweli au siyo kweli hata kama rafiki yake alipaswa atafute njia nzuri kumfariji
Mtoto anauma jamani Yarraii...viatu vya Munnah havitoshi kabisa na huyo Munna Hana huo utajiri wa kutisha kutoa kafara siwezi msemea ila sitaki kuamini kama anaweza fanya hvyo maana nae anahangaika na maisha kama sisi labda hyo kwenda kwa waganga kufanya upuuzi wao kusafisha nyota na mvuto ila jamani Kafara mwehh sio kitu kidogo atiii
Na simlaumu kuposti IG hii dunia kila mtu ana namna yakupata relief ktk mambo yake ndo maana wengine wanaleta JF ili kupata faraja ktk mioyo yao
Mungu amponye mtoto wake.
Mwanamke Wa HOVYOOO....
Anayesoma slide Instagram πTatizo sio kupost tu.
Tatizo amejiweka kama ni mtu flani hivi wa Mungu lakini mambo anayofanya ni against na Mungu. Sisi walimwengu lazima tutaongea tu maana ndivyo tulivyo hatuwezi kukaa kimya.
Huwezi kujiita mtu wa mungu kila siku unavaa hovyo, unafanya sugery na mengine mengi halafu umuombe Mungu akusikilize.
Kama kweli Mungu yupo basi hataki huo upuuzi, labda kama ana Mungu wake tofauti na wengine.
Yaani ile ilikuwa hatariππ anacheza drama hadi kwenye msiba wa mwanaye watu wanasubiri wapokee mwili kumbe ushapita kausafirisha kama kifurushi yeye kapanda zake gari nyingine mwili ushatangulia ili baba mzazi asijueSasa kama drama za ule msiba wa mwanae, kweli jamani ufiwe na mtoto hizo nguvu za maigizo unapata wapi mara mwili unasubiriwa airport mara kaupenyeza mapema π
Nini unahitaji kufahamu usijali google muna love historia fupiTuambie basi
Za google hazinogiNini unahitaji kufahamu usijali google muna love historia fupi
Ndio hvyo wanavodaiNdiyo yaliyotokea kwa mtoto wa Muna?
Sie twamuita mnafiki wa diniTatizo sio kupost tu.
Tatizo amejiweka kama ni mtu flani hivi wa Mungu lakini mambo anayofanya ni against na Mungu. Sisi walimwengu lazima tutaongea tu maana ndivyo tulivyo hatuwezi kukaa kimya.
Huwezi kujiita mtu wa mungu kila siku unavaa hovyo, unafanya sugery na mengine mengi halafu umuombe Mungu akusikilize.
Kama kweli Mungu yupo basi hataki huo upuuzi, labda kama ana Mungu wake tofauti na wengine.
Mpuuzi yuleSasa kama drama za ule msiba wa mwanae, kweli jamani ufiwe na mtoto hizo nguvu za maigizo unapata wapi mara mwili unasubiriwa airport mara kaupenyeza mapema π