Jilanga
JF-Expert Member
- Feb 13, 2011
- 255
- 40
Wakuu jamvini, imekuwa desturi na mazoea pale tunapopata taarifa ya kifo/vifo kuhuji nini basi kimepelekea kifo/vifo! Je lengo haswa ni kujua uzembe ama staili ya kifo ili nasi tujifunze siku nyingine ikibidi tukwepe kama ambavyo wahenga wasemavyo, "Tujifunze kupitia makosa/matukio ya wengine" au huwa tunauliza kwa kuwa imezoeleka hivyo!
NASUBIRI MTAZAMO WENU!
NASUBIRI MTAZAMO WENU!