UKWELI NI HUU.
1/Chaguo la watu wa Same Mashariki lilikuwa ni Mama Kaboyeka toka mwaka 2005 ila mizengwe ya ndani CCM ndio ilikuwa ikimzuia asiwe mbunge.
2/Anne Kilango Mallecela hakuwahi kuishi Same kabla ya kuwa mbunge na hata baada ya kuwa Mbunge.
3/Anne Kilango alikuwa akipata Ubunge kwa kutumia Nguvu ya Pesa, umaarufu wa CCM, Vitisho vya kishirikina na Ujanja ujanja wa kuiba kura.
4/Kuanzia mwaka 2010 Anne Mallecela hakuwa tena mpambanaji dhidi ya Ufisadi, alikuwa kimya bungeni, akapewa na unaibu waziri wa Elimu katika serikali ya kipumbavu ya JK.
5/Mwisho kabisa, Anne Kilango na CCM walikuwa wamechokwa sana na wananchi wa Same Mashariki, na wakati huo huo CHADEMA alikuwa imeshamiri sana katika maeneo yote ya Same Mashariki, ndio maana CHADEMA wameshinda ubunge na kupata pia madiwani wengi hivyo hata halmashauri ya Same itaongozwa na CHADEMA.