Kuchaguliwa na wananchi ni jambo la muhimu na la msingi tena inapendeza kama hujaiba kura,kuapishwa ni formality tu na procedure ata akiapishwa mwakani mwezi kama ashaanza kuwachimbia visima arumeru bila kuapishwa kwanza anayemuapisha hana moral authority ni sehemu ya waovu wa nchii hii.