PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,521
- 13,110
Mkuu mm mwenyewe sifahamu huwenda labda haijakamilika sasa wanasubiri mambo yakae sawa ndio waiachie!Hivi kwanini hawakuachia na video moja kwa moja..!?
Mkuu mm mwenyewe sifahamu huwenda labda haijakamilika sasa wanasubiri mambo yakae sawa ndio waiachie!Hivi kwanini hawakuachia na video moja kwa moja..!?
Uwongoooujue ommy zamani alikaa karibu na uwaridi..
ndio maana akanukia
sasa sijui yuko team gani lazima apotee...
kabla alikua na chibu ,alifanikiwa sana!!!
saivi naona ana maskendo tu ya upunga
Mkali wa vibao vya Hi, Handsome, Julieta, Leah na Tamika.mambo ya shilawadu, you heard.....hao wawili wa mwanzo nimewajua ila huyo no.3 nimepotea mkuu.
Me ndio mmeniacha gizani kabisa, punga/mchele duu msaada kwenye tuta (inbobo)punga
linaonekana kabisa
si uyu aliepata dhahabu soko kuumambo ya shilawadu, you heard.....hao wawili wa mwanzo nimewajua ila huyo no.3 nimepotea mkuu.
Mkuu nimekuelewa na nikakumbuka lile tukio ulilolieleza beforesi uyu aliepata dhahabu soko kuu
una utani weweinajibu atume barua ya maombi dabiliyu sii bi
kweliii tenauna utani wewe
Mkuu ulimla tiGO nini? naona unakazia kinoma hilo eneo.punga
linaonekana kabisa
...alikataa kujiunga WCB mond akamuwekea vikwazo vya kutoka kimuziki
umeandika pumba gani sijkuelewa??ivi umesoma vizuri nilichoandika?team kimba mpo vzur... type ushahid bas