Nilikuambia Usimpeleke demu WAKO geto LAKINI ukafanya ona SasaHuyo jamaa wa t-shirt nyekundu ambayo amenichekesha 😂 Unajifanya muokozi afu unapewa Kipigo
Anyway, demu ana tako 😎
Huwezi saidia mtu akichapwa?😱My advice, in whatever you do try as much as possible not to be like the guy in red.
Shenzi kabisa 😒Huyo jamaa wa t-shirt nyekundu ambayo amenichekesha 😂 Unajifanya muokozi afu unapewa Kipigo
Anyway, demu ana tako 😎
Kusaidia sio mbaya ila style aliyokuja nayo Yule jamaa ndio mbaya.Huwezi saidia mtu akichapwa?😱
If you can fight like a man then you should be treated like a man.
Unaunga mkono kupiga wanawake? Ningekuwa hapo ningemzuia huyo jamaa kumpiga huyo dada.My advice, in whatever you do try as much as possible not to be like the guy in red.
Ndio amvue nguo?😱Kusaidia sio mbaya ila style aliyokuja nayo Yule jamaa ndio mbaya.
Yeye alikurupuka tu bila kujua chanzo cha ugomvi wao
Kuna jamaa wa sweta jekundu alikua anaenda kuokoa wakampiga , vijamaa ni vijinga sanaUnaunga mkono kupiga wanawake? Ningekuwa hapo ningemzuia huyo jamaa kumpiga huyo dada.
Inasikitisha sana. At least wangeamulia. Wamshike yule dada na jamaa wamuweke mvali. Nafikiri ni Kenya hapo hdo wenzetu kidogo ustaarabu ni msamiati mpya.Kuna jamaa wa sweta jekundu alikua anaenda kuokoa wakampiga , vijamaa ni vijinga sana
Ila pia wadada wa kenya kama wamevurugwa flani hivi🤔 wana katabia kakujiamini kupita kiasi kama wa Arusha 🤔Inasikitisha sana. At least wangeamulia. Wamshike yule dada na jamaa wamuweke mvali. Nafikiri ni Kenya hapo hdo wenzetu kidogo ustaarabu ni msamiati mpya.
Mtetezi wa haki za binadamu haelewi hata ametokaje tokaje pale 😂😂😂Huyo jamaa wa t-shirt nyekundu ambayo amenichekesha 😂 Unajifanya muokozi afu unapewa Kipigo
Anyway, demu ana tako 😎
Dah mwanetu nguo nyekundu amepigwa vibao viwili chap akili ikamrudi ikabidi akaendelee na mbishe zake chap hana muda wa kupoteza kwenye ugomvi wa wenyeweJe, hakulipa nauli ya boda ? HATA kama hakulipa mbona YEYE NDO mkali kumpiga jiwe boda shida nini. Mpaka wameanza gombana
Huku Kenya wanawake huwa hawaogopi kuzichapa na wanaume.Ila pia wadada wa kenya kama wamevurugwa flani hivi🤔 wana katabia kakujiamini kupita kiasi kama wa Arusha 🤔
Kweli kabisa ,🤣Huku Kenya wanawake huwa hawaogopi kuzichapa na wanaume.
Wanakuwaga wajasiri Sana😅
Mwanamke akileta ujinga lazima apigwe tu ili akili zimkae Sawa.Unaunga mkono kupiga wanawake? Ningekuwa hapo ningemzuia huyo jamaa kumpiga huyo dada.