BONDE LA KUKATA M
Member
- Mar 31, 2020
- 67
- 59
Hapana mkuu Andakava Ego Sirii sio lazima tuone kila kitu ila hata wakileta ngonjera ziwe na uhalisia kwa mfano hata ukiambiwa wajerumani au waarabu walikaa zanzibar miaka ya 1820 huko na ukija kuangalia magofu yapo waliyoyaacha yanaonekana au ukiambiwa kulikuwa na vita ya maji maji au kulikuwa na kina isike au mkwawa ukienda kuangalia familia yao ipo au ukisikia historia ya kleruu na mamwindi hata kama haujakuwepo lakini trace zake za uhakika zipo ila issue za dayanasori ni tantalila tu hakuna uhalisia wowote zaidi ya kutaka kupiga fedha tu za utafiti.Mzee kwa miaka yako 30 hiyo unataka uwe umeona kila kitu..?
Ebu weka proof goliath alikuwa mrefu kama nusu uwanja.Nikweli kuna viumbe vingi vimepotea.
Wakati huamua hivyo.zamani watu walikuwa warefu kama nusu uwanja mfano Goliath,Leo hizo species zimwpotea
Hapana mkuu Andakava Ego Sirii sio lazima tuone kila kitu ila hata wakileta ngonjera ziwe na uhalisia kwa mfano hata ukiambiwa wajerumani au waarabu walikaa zanzibar miaka ya 1820 huko na ukija kuangalia magofu yapo waliyoyaacha yanaonekana au ukiambiwa kulikuwa na vita ya maji maji au kulikuwa na kina isike au mkwawa ukienda kuangalia familia yao ipo au ukisikia historia ya kleruu na mamwindi hata kama haujakuwepo lakini trace zake za uhakika zipo ila issue za dayanasori ni tantalila tu hakuna uhalisia wowote zaidi ya kutaka kupiga fedha tu za utafiti.
Sasa unataka kuniambia TZ nzima aliishi Dayanasori mmoja tu ambaye mifupa yake imepelekwa UJERUMANI? Kwa mfano Tembo miaka ijayo watapotea nina imani vizazi vijavyo hawatakuja kuwaona ila watawaona kupitia Archives(Video) ila movie za DAYANASORI ni fiction tu sio mnyama halisi ndio maana inakuwa ngumu sana kuamini uwepo wa dayanasori.Savimbi Jr, ni vema unashughulisha ubongo wako ili kujiridhisha... lakini mabaki ya mifupa ya dinosaurs yapo labda suala ni waliishi lini ila waliwahi kuishi duniani.
Kulingana na vipimo vyao (Carbon dating), then wanatumia uzoefu wao kutengeneza upya mazingira (scenario) ambayo ilisababisha kitu fulani kutokeaSAYANSI BANA INAZINGUA WAKATI MWINGINE HIVI NI NANI ALIKUWEPO WAKATI HAYO YANATOKEA?!
Ndiyo ushamuuliza sasaMi amenichanganya aliposema ILIJICHORA AUTOMATiCALLY...naogopa kumuuliza
Na hivo ndio mfano wa binadamu tutakavo Isha ktk uso wa dunia, it will come a disaster ambayo itapoteza uhai ktk uso wa duniaHi Guys!
Huu ni kama mwendelezo wa kuwachambua hawa Dinosaurs viumbe ambao waliwahi kuitawala dunia miaka mingi iliyopita.
Katika post iliyopita inayowahusu hawa viumbe nilieleza tabia zao na jinsi walivyoishi na kuitawala dunia. Hata Dragons hawakuweza kufua dafu kwao. Dunia ilikuwa kama mbingu kwao. Pia katika posti iliyopita kuwahusu hawa viumbe nilichanganya sayansi kidogo na maandiko ya Biblia kidogo yanazungumziaje.
Katika hii post ya leo sitagusia tena maandiko kwani niligusia awali. Leo nitagusia mabaki ya vitu vilivyokutwa duniani ndipo tukapata picha ya viumbe hao kuwa waliwahi kuwepo katika uso wa dunia.
Binadamu katika uso wa dunia hatuna miaka mingi, hatujafikisha miaka 7000. Ila ni ukweli usiopingika dunia ina miaka mingi zaidi ila tusilolijua mpaka leo ni kwamba kabla ya sisi nini kilikuwepo duniani.
Mabaki namba moja ambayo tumeyakuta duniani ni mifipa ya Dinosaurs na picha za Dinosaurs ziliwa zimejichora automatically kwenye miamba. Kwa mujibu wa Carbon 14, kifaa kinachokadiria umri wa mifupa kifaa hicho kilisoma ni miaka million 68 iliyopita, mifupa mingine ilisomeka iliexist miaka million 99 iliyopita. Hiyo ni kwa mujibu wa hicho kifaa.
Kitu kingine tulichokikuta ni a 15km Chicxulub asteroid. Hiki ni kimondo nacho kilisomeka kilitua miaka million 66 iliyopita.
Kwa mujibu wa wanasayansi. Mifupa 1500 ya Dinosaurs ilipatikana duniani. Hivyo inadhaniwa kimondo hicho walichokipa jina la Chicxulub kilipotua joto la dunia lilipanda mpaka 150°C na kila kuimbe kilichokuwa 800km karibu kiliangamia. Na waliosaliwa walikufa kwa njaa kwa sababu ya joto kupanda hakuna mimea iliyostawi.
Waliosalia walikula wenzao na mwishowe wakamalizika wote. Dunia ikabaki kama sayari zingine. Hadi pale Mungu alipoamua kuifanya upya tena na sisi tukaletwa duniani.
View attachment:
Sent using Jamii Forums mobile app
Ebu weka proof goliath alikuwa mrefu kama nusu uwanja.
Hapana mkuu Andakava Ego Sirii sio lazima tuone kila kitu ila hata wakileta ngonjera ziwe na uhalisia kwa mfano hata ukiambiwa wajerumani au waarabu walikaa zanzibar miaka ya 1820 huko na ukija kuangalia magofu yapo waliyoyaacha yanaonekana au ukiambiwa kulikuwa na vita ya maji maji au kulikuwa na kina isike au mkwawa ukienda kuangalia familia yao ipo au ukisikia historia ya kleruu na mamwindi hata kama haujakuwepo lakini trace zake za uhakika zipo ila issue za dayanasori ni tantalila tu hakuna uhalisia wowote zaidi ya kutaka kupiga fedha tu za utafiti.
Wewe unaamini kuhusu uwepo wa mungu?Ndio mkuu 100% chai chai nyingi hasa kwa vitu ambavyo hatukuviona ni assumptions tu.
Una uhakika..je nayo kama ni assumption?kulingana na kuruan binadam ni second edition baada ya majin[emoji28][emoji28][emoji28]
Kijana jaribu kuwa muelewa anamaanisha watu ndio hawakuzidi miaka 7000 ila viumbe vingine na dunia ilikuwepo tangu miaka millions iliyopita okUnasema kua watu katika uso wa dunia hatujazidi miaka 7000 halafu hapo hapo umesema kwa mujibu wa sayansi kupitia kipimo cha carbon 14 wame-observe kua hao dinosaur waliwahi kuwepo miaka milion 68 iliyopita
Sasa inamaana huamini tafiti zilizotolewa na sayansi kwa mujibu wa kipimo cha carbon 14 kua mtu wa kwanza aliishi miaka milion 3 iliyopita?
Kama unakubaliana na tafiti hiyo, utasemaje kua watu hawajawahi kuwepo kwenye usonwa dunia kwa miaka 7000?
Kama hukubaliani na hiyo tafiti inamaana unapingana kua hiyo carbon 14 imedanganya?
na vipi kuhusu majibu yaliyotolewa kwenye utafiti kuhusu dinosaur kupitia carbon 14 kivipi yawe sahihi wakati kuna majibu yaliyotolewa kupitia kipimo hicho hicho huyakubali?
Unachowaza pia ni assumptionSayansi fiction ,
Una maana na sisi binadamu tutamalizwa na COVID ?
Ili dunia nayo ibakie pweke kama enzi za hawo jamaa?
Lakini inakuwaje kama haya maswala ya mungu na shetani yakiwa ni mythical things???COVID itapita tu japo imeleta athari. Ila haiwezi kuangamiza dunia nzima, itakuwa shetani kamshinda Mungu, kitu ambacho hakiwezekani.
Sent using Jamii Forums mobile app
we ndo hujaelewaKijana jaribu kuwa muelewa anamaanisha watu ndio hawakuzidi miaka 7000 ila viumbe vingine na dunia ilikuwepo tangu miaka millions iliyopita ok
we ndo hujaelewa
Takwimu za kuhusu dinosar ku exist miaka hiyo amepata kupitia carbon 14 iliyopima masalia ya viumbe hao
Lakini nani asiyejua kua kupitia hiyo hiyo carbon 14 tumeweza kugundua mtu wa kale aliishi miaka milion 3 iliyopita?
Sasa mdau anakubali majibu ya dinosar kua ndio ya kweli ila majibu ya kuhusu existence ya mtu kwa zaidi ya miaka hiyo anaipinga wakati majibu yote yamepatikana kwenye kipimo kimoja
Hoja ni kwamba
Kama mtu wa kale hakuwepo miaka 7000 iliyopita basi ni lazima atakuwa hakubaliani na usahihi wa kipimo cha carbon 14 kwamba sio cha kuaminika na hakitoi majibu sahihi, na hapo unabidi uje na kipimo chako
Lakini hata ukisema dinosar walikuwepo miaka hiyo na umejua hilo kupitia carbon 14, bado utakuwa unaji contradict kwasababu njia potofu haiwezi kukupeleka kwenye jibu zuri
Una maanisha kujulikana kwa namna gani naposema "sababu historia ya mwanadamu inajulikana haijavuka miaka 7000"Sijajicontradict nimesema sina imani na kipimo hicho kwa sababu historia ya mwanadamu inajulikana haijavuka miaka 7000, pia nikasema kipimo hicho kimeonyesha dinosour walikuwepo miaka billion 68 iliyopita, kwa kuwa hatukuwepo hatuwezi kubishana japo hatukubali kama kipimo hicho kimekadiria hiyo miaka vizuri.