Nini Kiliwapata Dinosaurs

Siamini sayansi ya kusadikika mkuu na sio hii realistic ambayo tunaiona na kuiexperience.
Ya kusadikika ni ipi? Dinosaurs proof tunayo.
Electrons ni sayansi ya kusadikika, hatujawahi ona electrons ila tunapima na kuja na conclusion kua zipo. Same as vitu vingi ambavyo sayansi inasema vipo lakini hatujaviona, sababu evidence inakubali kua vipo
 
Proof ipo, ukiicheki hiyo video niliyoweka link hapo juu mwishoni mwishoni mwa video hiyo utaona watafiti wakiifukua mifupa ya Dinasours. Then ukimaliza ndo uje useme sasa hakuna proof.
Proof ipi hiyo ya dinosaurs? Mjusi wa ujerumani au? Je unaamini binadamu wa kwanza alikuwa nyani kama wazungu wanavyotuambia kwenye sayansi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Napingana na hii nadharia mkuu!
ngoja nikafanye meditation nitarudi kwa hoja binafsi
 
Mi amenichanganya aliposema ILIJICHORA AUTOMATiCALLY...naogopa kumuuliza
 
Weka link ya thread kabula ya hii
 
Proof ipo, ukiicheki hiyo video niliyoweka link hapo juu mwishoni mwishoni mwa video hiyo utaona watafiti wakiifukua mifupa ya Dinasours. Then ukimaliza ndo uje useme sasa hakuna proof.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuuu bado unaamini movie za wazungu za kufukua mifupa? Achana na movie hizo zinatengenezwa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…