Nini Kilimkuta Dr Ferdinand Masako?

Mzungu aliletwa aongoze managemen ya muhimbili wachaga wa muhimbili.muhas na walioko wizara ya afya walimfukuza kama mbwa ona sasa hospitali inavyokufa

Undu;
Mleta mada anazungumzia mengine weye mwenye kijiba cha moyo tiyari umeshaleta ukabila. Kweli upuuzi hauna utu. Sema kama ni hao wachaga wako walimuua Dr. Masau usibabaike. Kama ni mzungu alifukuzwa ka mbwa nawaunga mkono hao wachaga kwani Tz tunao viongozi wazuri tu.
Unajua huyo mzungu qualified analipwa ngapi kule kwao?? Iweje aje kupoteza mda wake hapa Tz?? Hana sifa huyo ndo maana hao wachaga wako wakamtimua.
Mnaenda kuleta kina Maximo kuja kulamba fedha yetu huku kina Kibaden hamuwasaidii kuongeza ufundi. Uzalendo umeenda wapi jamani?? Hizo pesa za kulipia mabingwa feki si muwapeleke wazalendo huko kwao wakajifunze warudi kuja fanya mengi kwetu? Angalia kina Dr Winani. Umeona wanayo yafanya huku kwetu baada ya kukataa kuishi huko ughaibuni??
 
Mimi nataka nielezwe kuwa Je tiba hiyo ya moyo katika taasis ya Dr Masao aliyetokea marekani ilifikia viwango stahiki?

Au ni kwa sababu alitangazwa sana.

Tunajua outcomes za wagonjwa walioenda kutibiwa kwake?

Was he real or mjasiliamali?

Hivi ukiambiwa ufuate miongozo inakuwa nongwa na kufitiniwa?

Tuacha maneno maneno ya kwenye vijiwe vya kahawa...tujifikirishe!
 
Umeanza vizuri sana, ila umeharibu hapo mwishoni.Sangoma Mwaka.
 
Serikali ya CCM chini ya Benjamin Mkapa haichomoki hapa

Sio kweli huyu daktari alifanyiwa mizengwe na wakina Dau wa NSSF enzi ya Mkweree!! Damu ya Dr. Masao haitawaacha salama wote waliohusika na finta za kumuangamiza!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…