EJM_
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 3,836
- 2,108
Watoto wengi wanapokuwa shule za msingi huwa hawapendi kwenda shule. Mara nyingi hii inachangiwa na tatizo la kuamka asubuhi wakati bado ana usingizi au kubanwa kwa muda mrefu wakati anataka kucheza.
Sasa hebu we kumbuka nini hasa kilikuwa kinakufanya uende shule kila siku pamoja na kwamba ilikuwa inakukera sana kuamka asubuhi?
Sasa hebu we kumbuka nini hasa kilikuwa kinakufanya uende shule kila siku pamoja na kwamba ilikuwa inakukera sana kuamka asubuhi?