LexAid
JF-Expert Member
- Jul 5, 2011
- 1,931
- 774
Hakuna kudhalilika hapa, raha jipe mwenyewe, na wengine wanakuongezea tu!! Sasa hapo kwenye jacuzzi hao akina mama mbona wanajipa raha wenyewe. Wewe ulisha oga kwenye jacuzzi na kuona raha zake???
Wakiiga je na kufanya haya mambo pale kwenye Jakuzi yetu ya manzese si litakua janga la Kitaifa?