bukoba boy JF-Expert Member Jan 15, 2015 5,371 3,946 Oct 27, 2019 #1 Jiwe lake la msingi liliwekwa mwaka 1976, ikiwa chini ya East African Railways. Baada ya mageuzi ya uchumi ilibinafishwa kwa wawekezaji. Ila kwa sasa imekufa mpaka jengo lake limeporomoka kwa kiasi hiki. Nini kifanyike sasa au iko kwenye mpango gani serikali ?Yaani Musoma wamekosekana watu wakaendeleza hili eneo? NB: Kwa wale walio na picha za hii Hotel enzi hizo ikiwa juu waweke hapa tuone na sisi.
Jiwe lake la msingi liliwekwa mwaka 1976, ikiwa chini ya East African Railways. Baada ya mageuzi ya uchumi ilibinafishwa kwa wawekezaji. Ila kwa sasa imekufa mpaka jengo lake limeporomoka kwa kiasi hiki. Nini kifanyike sasa au iko kwenye mpango gani serikali ?Yaani Musoma wamekosekana watu wakaendeleza hili eneo? NB: Kwa wale walio na picha za hii Hotel enzi hizo ikiwa juu waweke hapa tuone na sisi.
MURUSI JF-Expert Member Jun 25, 2013 4,496 8,734 Oct 27, 2019 #2 Musoma kuna wageni gani wa maana wa kutumia hoteli za daraja la juu? Ule mji ni mdogo mno
bukoba boy JF-Expert Member Jan 15, 2015 5,371 3,946 Oct 27, 2019 Thread starter #3 MURUSI said: Musoma kuna wageni gani wa maana wa kutumia hoteli za daraja la juu? Ule mji ni mdogo mno Click to expand... Wageni wa maana wakisikia kuna hotel ya daraja la juu wanaweza wakawa wanafikiria kutembelea Musoma sikumoja,we unaonaje?
MURUSI said: Musoma kuna wageni gani wa maana wa kutumia hoteli za daraja la juu? Ule mji ni mdogo mno Click to expand... Wageni wa maana wakisikia kuna hotel ya daraja la juu wanaweza wakawa wanafikiria kutembelea Musoma sikumoja,we unaonaje?