Nini kiliikumba Musoma Hotel?

bukoba boy

JF-Expert Member
Jan 15, 2015
5,371
3,936
Jiwe lake la msingi liliwekwa mwaka 1976, ikiwa chini ya East African Railways. Baada ya mageuzi ya uchumi ilibinafishwa kwa wawekezaji.

Ila kwa sasa imekufa mpaka jengo lake limeporomoka kwa kiasi hiki.

Nini kifanyike sasa au iko kwenye mpango gani serikali ?Yaani Musoma wamekosekana watu wakaendeleza hili eneo?

NB:
Kwa wale walio na picha za hii Hotel enzi hizo ikiwa juu waweke hapa tuone na sisi.

IMG_20191027_175630.jpeg
IMG_20191027_175645.jpeg
IMG_20190810_075310-2.jpeg
IMG_20191027_175748.jpeg
 
Musoma kuna wageni gani wa maana wa kutumia hoteli za daraja la juu? Ule mji ni mdogo mno
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom