1: MAWAKALA KUNUNULIWA(kukubali kubadilishiwa matokeo)
2: Vituo Bubu ktk maeneo ambayo watu hawapajui, kuwa vituo vya kupigia kura, visivyofahamika na wenyeji!!
3:Majina ya wapiga kura kupelekwa kwenye Vituo vingine wasivyovifahamu, ili iwe rahisi kuwa-Confuse na kukata tamaa ya kupiga Kura.(mara nyingi sana tumeona, jinsi nec wanavyochelewa kutoa majina ya wapiga kura ili wasipate muda wa kuhakiki taarifa zao ktk vituo Mbalimbali vya kupigia kura.
4: List Kubwa ya wapiga kura, ambao ni Void, ikilinganishwa na waliojiandikisha ambao hawajahakikiwa(Audited) na hii hutumika kurahisisha kumwongeza kura waliyemkusudia kushinda.
5: Masanduku ya kura kuandaliwa, na kura zilizopigwa tayari kwa ajili ya kuChanganya kwenye mjumuisho
6: Uhusika wa vyombo vya usalama ktk kufadhili mpango kazi wa UChakachuaji,
7:Mkurugenzi wa Tume ya Taifa, kutangaza jina la aliyeshindwa kwamba ndie mshindi, chini ya Usimamizi wa Vyombo vya Dola
8: UCHakachuaji wa ki-Electronic kwenye mifumo ya Mjumuisho wa KURA- especially kura za urahisi-
hapa kunakuwa na System imeandaliwa ili ku-Invert matokeo kumpendelea waliyemkusudia
ETC