Nini kazi ya shanga za kiunoni?

CABANA

JF-Expert Member
Feb 6, 2013
418
546
Habari zenu wana jamii!

Ninaomba kujua nini hasa dhumuni la mwanamke kuvaa shanga? Je wakati wa majambozi nini mwanaume anapaswa kufanya au kuzichezea vipi hizo shanga? Kama kuna ujuzi wowote au siri yoyote juu shanga kwa upande wa mwanamme naomba nijuzeni jamani.

Asante.
 
Watakuja wenye shanga watakweleza wanapenda zichezeweje...Na huwa wanasikia ladha gani.Stay tuned dude!!:A S 576:
 


labda tumtafute huyu anaweza kujua matumizi yake
 
Tunashukuru sana kwa ufahamu,Hata mimi nilikuwa sijui kwa kweli. Asante,Na nadhani wanafunzi anaweza kuja kujua zaidi kuliko mwalimu. I hope nikaweza kumnogesha nitakapo mpata wangu azivae shanga.
 
Huyu anaweza kukufanya uzivue kama unazo, haogagi?
Ukiogaoga kila mara nyuzi zinaoza na kuzeeka ndio maana zinakatika.Huyu kagundua hivyo ndio maana haogi,labda anatawaza tuu. Au labda hata kutawaza hatawazi maana atapooza mashine ipoteze ladha maridhawa kwa wateja.
 
Mbona unawatisha wadau? Wataogopa kujibu kwa kuhofia kuonekana wanashanga
Jamani kuonekana wana shanga ni sifa nzuri maana wataonekana na kujulikana wanajali na wanataka kujaliwa na wahusika wao. Hata mimi natamani mwenye shanga aniPM nione burudani hii kama nitaimudu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…