Nini husababisha nywele kuwa nyeupe(Mvi)

Kennedy

JF-Expert Member
Dec 28, 2011
49,015
54,296
Salam wana jukwaa hili. Kuwa na mvi kuna wengine huusisha kama kuwa na busara,lakini pia kuwa na kipara wengine eti vya kuridhi. Mvi na kipara kuna sababu nadhani zinazosabisha kuwa na vitu hivi,kwamsaada wa ma dr na wataalam wanaoelewa chanzo cha mvi pia kipara tafadhali anielimishe. Hivi vipara na mvi kwasasa havina umri utakuta rika lolote kwa wanaume wanazo pia huwa hawaweki pico kama wakina dada. Nielimisheni pia kunikosoa tafadhali.
 
Back
Top Bottom