deepsea
JF-Expert Member
- Aug 10, 2013
- 3,288
- 939
Anapata damu ya hedhi kwa siku tano lakini mwezi huu kapata siku tatu kuanzia tarehe 28,29,30 hapa alipo hana amani anahisi labda tatizo inaweza kuwa nini?
Sababu hasa, hajawahi kutumia dawa za uzazi ni hayo tu naombeni mawazo, ushauri na uzoefu wenu.
Sababu hasa, hajawahi kutumia dawa za uzazi ni hayo tu naombeni mawazo, ushauri na uzoefu wenu.