Nini hubadilisha mzunguko wa hedhi?

christer

Senior Member
Feb 12, 2010
131
39
Salama za mwaka mpya.

Napenda kufahamu ni sababu gani zinaweza kusababisha mzunguko wa hedhi kubadilika mfano kutoka siku 28 mpaka 25 au 22.

Tafadhali mwenye majibu.
 
Pamoja na yote tunajua kwamba mzunguko wa hedhi ni asili ya kisaikolojia mchakato, takribani mara moja kwa mwezi (kwa bahati mbaya kuna mambo ya kipekee, na jinsi!), Wanawake tukio Hii inaweza kuwa ndoto ya kweli.

[h=1]PMS- Shida Wakati wa Hedhi[/h]Wanawake wengi huwa na mabadiliko ya kimwili na hisia kabla, baada na wakati wa hedhi. Haijulikani vizuri ni nini kinachosababisha PMS. Dalili huja wiki moja au mbili kabla ya hedhi. Watu wengi hutoa mzaha kuhusu PMS na hawaichukulii kwa uzito. Ukweli ni kuwa hali hii huweko. Waweza kuwa hamu kubwa ya chakula fulani, kuumwa na matiti, kuvimba mwili na mabadiliko katika hisia.
Ishara zake ni zipi?
  • Kubadilika kwa hisia
  • Kukasirika upesi
  • Kulia bila sababu
  • Kuwa na wasiwasi
  • Tamaa ya chakula
  • Maumivu tumboni au mgongoni
  • Kufura au kuumwa na matiti
  • Kuvimba mwili
Utatibu vipi PMS?

Kati ya wanawake 5 mmoja ana PMS. Mabadiliko ya hormone huleta dalili za PMS. Kuna mambo unaweza kufanya ilikukufanya uwe na raha.
  • Kula vyakula bora vya kujenga mwili
  • Pumzika, fanya mazoezi ya uvutaji pumzi ndani na nje
  • Meza dawa za kutuliza maumivu kama Panadol
  • Tumia chupa yenye moto kujikanda sehemu ya tumbo inayouma
  • Mueleze daktari wako maumivu yakizidi.
 
Mzizi mkavu yaani inaonekana umetumia google translator, na bahati mbaya haueleweki.
Nisaidie wewe basi ku Tafsiri nakuwekea kiingereza baso soma hapa chini

Menstrual cycle




Menstrual cycle​

See also: Menstruation and Menstruation (mammal)
The menstrual cycle is the scientific term for the physiological changes that can occur in fertile women for the purpose of sexual reproduction and fertilization. This article focuses on the human menstrual cycle.

The menstrual cycle, under the control of the endocrine system, is necessary for reproduction. It is commonly divided into three phases: the follicular phase, ovulation, and the luteal phase; although some sources use a different set of phases: menstruation, proliferative phase, and secretory phase.[SUP][1][/SUP] Menstrual cycles are counted from the first day of menstrual

bleeding. Hormonal contraception interferes with the normal hormonal changes with the aim of preventing reproduction.
Stimulated by gradually increasing amounts of estrogen in the follicular phase, discharges of blood (menses) slow then stop, and the lining of the uterus thickens. Follicles in the ovary begin developing under the influence of a complex interplay of

hormones, and after several days one or occasionally two become dominant (non-dominant follicles atrophy and die). Approximately mid-cycle, 24–36 hours after the Luteinizing Hormone (LH) surges, the dominant follicle releases an ovum, or egg in an event called ovulation. After ovulation, the egg only lives for 24 hours or less without fertilization while the remains

of the dominant follicle in the ovary become a corpus luteum; this body has a primary function of producing large amounts of progesterone. Under the influence of progesterone, the endometrium (uterine lining) changes to prepare for potential implantation of an embryo to establish a pregnancy. If implantation does not occur within approximately two weeks, the

corpus luteum will involute, causing sharp drops in levels of both progesterone and estrogen. These hormone drops cause the uterus to shed its lining and egg in a process termed menstruation.

In the menstrual cycle, changes occur in the female reproductive system as well as other systems (which lead to breast tenderness or mood changes, for example). A woman's first menstruation is termed menarche, and occurs typically around

age 12-13. The average age of menarche is about 12.5 years in the United States,[SUP][2][/SUP] 12.72 in Canada,[SUP][3][/SUP] 12.9 in the UK[SUP][4][/SUP] and 13.06 ± 0.10 years in Iceland.[SUP][5][/SUP] The end of a woman's reproductive phase is called the menopause, which commonly occurs somewhere between the ages of 45 and 55.
Menstrual cycle - Wikipedia, the free encyclopedia


Tafsiri yake kwa kiswahili nakuwekea hapa
[h=1]Mzunguko wa hedhi[/h]Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru




Mzunguko wa hedhi​

Tazama pia: hedhi
na (wanyama) hedhi

mzunguko wa hedhi ni jina la kisayansi la kisaikolojia

mabadiliko ambayo yanaweza kutokea katika rutubawanawake
kwa ajili ya uzazi wa kimapenzi
na mbolea
. Makala hii inalenga katika mzunguko wa hedhi binadamu.mzunguko wa hedhi, chini ya udhibiti wa mfumo wa endokrini

, ni muhimu kwa ajili ya uzazi
. Ni kawaida kugawanywa katika awamu tatu: awamu ya folikoli
, ovulation
, na awamu ya lutea
, ingawa baadhi ya vyanzo vya kutumia kuweka tofauti ya awamu: hedhi
, proliferative awamu, na awamu ya secretory. [SUP][1][/SUP]
mzunguko wa hedhi zilihesabiwa kuanzia siku ya kwanza ya kutokwa na damu ya hedhi. uzazi wa mpango Homoni
Inahitilatiana na mabadiliko ya homoni ya kawaida kwa lengo la kuzuia uzazi.Drivas na hatua kwa hatua ya kuongeza kiasi ya estrogen

katika awamu ya folikoli, yanayovuja damu (hedhi) basi polepole kuacha, na bitana
ya uterasi
thickens. Follicles katika ovari
kuanza zinazoendelea chini ya ushawishi wa Samspelet tata wa homoni, na baada ya siku kadhaa mara kwa mara moja au mbili kuwa kubwa (non-kubwa follicles kudhoufika na kufa). Takriban katikati ya mzunguko, masaa 24-36 baada ya homoni Luteinizing (LH) surges, follicle kubwa releases yai, au yai
katika tukio aitwaye ovulation. Baada ya ovulation, yai tu maisha kwa masaa 24 au chini bila mbolea wakati bado wa follicle kubwa katika ovari kuwa luteum corpus
, mwili huu kazi ya msingi ya kuzalisha kiasi kikubwa cha progesterone
. Chini ya ushawishi wa progesterone, endometrium (uterine bitana) mabadiliko ya kujiandaa kwa ajili ya uwezo implantation
wa kiinitete kuanzisha mimba
. Kama implantation haina kutokea ndani ya wiki takribani mbili, luteum corpus mapenzi involute, na kusababisha matone mkali katika ngazi ya wote progesterone na estrogen. Homoni hizi matone kusababisha mji wa mimba kwa kumwaga bitana yake na yai katika mchakato wanaiita hedhi.Katika mzunguko wa hedhi, mabadiliko kutokea katika mfumo wa uzazi wa kike

pamoja na mifumo mingine (ambayo kusababisha kifua huruma
au mood
mabadiliko, kwa mfano). hedhi ya mwanamke wa kwanza inaitwa menarche
, na hutokea kwa kawaida karibu na umri 12-13. umri wa wastani wa menarche ni miaka 12.5 katika Marekani
, [SUP][2][/SUP]
12.72 katika Canada
, [SUP][3][/SUP]
12.9 katika Uingereza
[SUP][4][/SUP]
na 13.06 ± 0.10 katika miaka ya Iceland
. [SUP][5][/SUP]
mwisho wa awamu ya uzazi ya mwanamke ni aitwaye wanakuwa wamemaliza
, ambayo kwa kawaida hutokea mahali fulani kati ya miaka 45 na 55.

http://translate.google.com.tr/tran...=http://en.wikipedia.org/wiki/Menstrual_cycle

 
Mzunguko wa hedhi unatofautiana kwa watu tofauti na hata kwa mtu mwenyewe binafsi. Kuna mizunguko mifupi na mirefu. Na mizunguko hii huwa tunahesabu kuanzia ile siku unaanza kuona damu mpaka ile siku utakayoanza kuona damu mara nyingine.

Kawaida mzunguko mzima unaweza kuwa kati ya siku 21 mpaka 35 ingawa watu wengi ni wa siku 28. Kwa mfano ukiwa na mzunguko mfupi siku zote utaona unapata hedhi mara mbili kwa mwezi lakini hiyo si tatizo kama siku hizo zinaangukia katika urefu

huo niloutaja.. Kwa hiyo kabla hujaenda hospitali jaribu kuweka alama kwenye kalenda kila unapoona siku zako halafu baada ya kama miezi mitatu hesabu uone mzunguko wako ni siku ngapi kama zitaachana kwa mbali hapo unaweza kutafuta ushauri wa Daktari.
 
Mambo yanayoweza kusababisha kubadilika hedhi ni pamoja na
1.stress
2.Utiaji wa madawa mbalimbali mfano dawa za uzazi wa mpango baadhi ya watumiaji hedhi zao hubadilika.
3.Premenopause(kipindi cha mpito kuelekia mwanamke kuacha kupata siku zake hasa kwa wa umri wa kuanzia miaka 45 na kuendelea.
4.Magonjwa ya zinaa nk.5.Matatizo kwenye uterus.but sababu hizi sijalenga kujibu mabadiliko ya siku ulizotaja hapo juu bali nimejibu kwa general.
Hii kwa uzoefu wangu wengine wakibadilisha mazingira mfano alikuwa akikaa kwenye maeneo ya joto kwenda maeneo ya baridi,na wengine aina fulani ya vyakula.
 
Mambo yanayoweza kusababisha kubadilika hedhi ni pamoja na
1.stress
2.Utiaji wa madawa mbalimbali mfano dawa za uzazi wa mpango baadhi ya watumiaji hedhi zao hubadilika.
3.Premenopause(kipindi cha mpito kuelekia mwanamke kuacha kupata siku zake hasa kwa wa umri wa kuanzia miaka 45 na kuendelea.
4.Magonjwa ya zinaa nk.5.Matatizo kwenye uterus.but sababu hizi sijalenga kujibu mabadiliko ya siku ulizotaja hapo juu bali nimejibu kwa general.
Hii kwa uzoefu wangu wengine wakibadilisha mazingira mfano alikuwa akikaa kwenye maeneo ya joto kwenda maeneo ya baridi,na wengine aina fulani ya vyakula.

asante sana
 
tatizo ilo lilinipata mwaka jana sikupata hedh miez 2 nkaenda ospital nkambiwa kawaida badae ikaendelea kama kawaida, mwez jana nimepata kidogo sana na mwez huu nimepitilza leo siku ya 3 tatizo linaweza kuwa nini? Je ni hali ya kawaida? Sijasex since march mpenz kasafir so czan kama ni mimba.
 
@Kilahunja Hiyo inatokana na mfumo wa vichocheo kubadilika .

Wakati mimba haijatunga vichocheo hufanya kazi ya kitayarisha mirija ya fallopia na nyumba ya uzazi kuanza kuandaliwa kwa ajili ya fertilization (kwenye Fallopian tubes) na kusafiri hadi nyumba ya uzazi(uterus).Mojawapo ya kazi kubwa ya vichocheo ni kuandaa mazingira katika uterus kwa ajili ya kupokea tokeo la fertilization(embryo)kwa ajili ya implantation na kuendelea na hatua zngine za ukuaji hadi miezi 9.

Sasa fertilization isipotokea layer ya damu ambayo iliyoongezeka kwa ajili ya kupokea embryo kwenye uterus hutoka nje kama hedhi.

Kama imetokea ferilization na implantation ,layer ya damu katika uteus haitoki kwa kuwa inahitajika kwa ajili ya ku accomodate embryo ,kwa hivyo huwezi kuona siku za mwezi, hedhi.

Mabadiliko haya husababishwa na vichocheo. https://www.jamiiforums.com/jf-doct...siku-za-hedhi-kupitiliza-kama-huna-mimba.html

DAWA ZA KUTEREMSHA HEDHI.

Ikiwa hedhi imezuilika kwa kufikia umri wa kumaliza au ni kwasababu ya mimba, inafahamika lakini ikiwa si kwasababu mbili hizo basi hufanyiwa dawa na kuirudisha hedhi.

1. Kunywa chai ya mdalasini.

2. Mvuje ukinywewa pamoja na pilipilimanga huteremsha hedhi iliyo fungwa katika uzai au mapito yake.

3. Manemane ikipondwa na ukinywa siku tatu asubuhi kabla ya kula chakula

4. Kitunguu saumu na maganda yake huteremsha hedhi

5. Kunywa maji yaliyochemsha na zaatari.
 
Wapendwa habarini..naomba kujuzwa.mwez wa 9 niliingia period trh20,mwez wa 10 niliingia trh 21 na mwez huu trh 19 yan leo..kiukwel siuelewi mzunguko wangu nitakua namatatizo gani mpaka mzunguko unabadilika hivo?na kwa tarehe hizo mzunguko wangu utakua ni wa siku ngap 28,32 au?na siku za ovulation kuanzia tarehe ya leo itakua siku ya ngap?msaada wenu tafadhal.
 
Wapendwa habarini..naomba kujuzwa.mwez wa 9 niliingia period trh20,mwez wa 10 niliingia trh 21 na mwez huu trh 19 yan leo..kiukwel siuelewi mzunguko wangu nitakua namatatizo gani mpaka mzunguko unabadilika hivo?na kwa tarehe hizo mzunguko wangu utakua ni wa siku ngap 28,32 au?na siku za ovulation kuanzia tarehe ya leo itakua siku ya ngap?msaada wenu tafadhal.

Mzunguko wa kawaida wa mwanamke ni siku 28 mpaka 30. Kila mwanamke ana mfumo wake wa mzunguko, ambao urefu wa mzunguko unaweza kuongezeka au kupungua kidogo kwa siku moja mpaka nne kutoka mwezi mmoja mpaka mwingine. Mabadiliko yakizidi siku saba, hapo ndio kitaalam tunasema kunaweza kuwa na tatizo. Kwa kuwa pia urefu wa calendar month hubadilika kati ya siku 30 na 31(28 na 29 feb) ni muujiza mwanamke kuingia period tarehe hiyo hiyo kila mwezi. Kwa ufupi,kwa mtitiriko wa tarehe zako HAUNA TATIZO lolote la urefu wa mzunguko
 
Mzunguko wa kawaida wa mwanamke ni siku 28 mpaka 30. Kila mwanamke ana mfumo wake wa mzunguko, ambao urefu wa mzunguko unaweza kuongezeka au kupungua kidogo kwa siku moja mpaka nne kutoka mwezi mmoja mpaka mwingine. Mabadiliko yakizidi siku saba, hapo ndio kitaalam tunasema kunaweza kuwa na tatizo. Kwa kuwa pia urefu wa calendar month hubadilika kati ya siku 30 na 31(28 na 29 feb) ni muujiza mwanamke kuingia period tarehe hiyo hiyo kila mwezi. Kwa ufupi,kwa mtitiriko wa tarehe zako HAUNA TATIZO lolote la urefu wa mzunguko

asante mkuu,je kwa tarehe hyo ya 19 ovulation itaanza tarehe ngap?
 
asante mkuu,je kwa tarehe hyo ya 19 ovulation itaanza tarehe ngap?

wewe ni mwanaume wala si mwanamke, unatuuzia chai hapa, unataka ujifunze mambo yetu wanawake kwa kujifanya mwanamke. Hata kama ungekuja kama man tungekujibu, acha maigizo
 
wewe ni mwanaume wala si mwanamke, unatuuzia chai hapa, unataka ujifunze mambo yetu wanawake kwa kujifanya mwanamke. Hata kama ungekuja kama man tungekujibu, acha maigizo

km ungekua huna cha kusaidia kuchangia ungepita tu,hakuna mtu anakulazamisha kuandika kitu..unanijua mpaka unasema me c mwanamke?uwe na adabu..stpd!
 
Back
Top Bottom