Nini hatma ya wamasai wa nchi hii

Nini hatma ya wamasai wa nchi hii

mwanyaluke

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2015
Posts
773
Reaction score
2,587
Ukabila Hauna maana yoyote kwa dunia ya sasa, lakini Bado zipo jamii zimekumbatia sana Mila na desturi zao , masai ni Moja wapo.

Tupo Dunia ya kibepari ambayo inahitaji akili nyingi na macho ya dhahabu ya kuona vitu na fursa, stori za sasa ni pesa pesa pesa. Cha ajabu kwa ndugu zetu masai mifumo Yao ya utafutaji imeathiriwa sana na Mila zao, masai anafanywa kivutio Cha utalii ( kwa wazungu wanamuona masai sawa na swala yaani masai)

2.Masai anauza mizizi , mikanda , na viatu ambavyo I think soko lake lipo chini sana kwa hiyo Bado hatengenezi pesa3. Masai anataka achunge ng'ombe ambao Dunia ya sasa hawana soko, wanapoteza muda mwingi kuwachunga na Kwa mabadiliko ya hali ya hewa na ongezeko la watu duniani, sion kama masai atendelea na huu mfumo wa kuchunga, je kwa life style ya masai nini hatma yao
 
Kwa haya mabadiliko ya tabia nchi na mabadiliko ya kijami yanayochochewa na teknolojia watabadika wenyewe bila kulazimishwa. Watoto wao wanasoma, wakiwa wasomi huachana na mila zao za kienyeji
 
Ng'ombe gani hao ambao dunia ya sasa hawana soko?
Halafu mila na desturi zao zinaathiri nini kwenye maisha yako mpaka upate hisia za ukabila kwa wamasai!
Na sidhani kama kuna makabila yanayazidi ukarimu makabila ya wafugaji!
Inavoonekana ni kama wewe ndio una chembe chembe za ubaguzi na ukabila!
 
Ukabila Hauna maana yoyote kwa dunia ya sasa, lakini Bado zipo jamii zimekumbatia sana Mila na desturi zao , masai ni Moja wapo.

Tupo Dunia ya kibepari ambayo inahitaji akili nyingi na macho ya dhahabu ya kuona vitu na fursa, stori za sasa ni pesa pesa pesa. Cha ajabu kwa ndugu zetu masai mifumo Yao ya utafutaji imeathiriwa sana na Mila zao, masai anafanywa kivutio Cha utalii ( kwa wazungu wanamuona masai sawa na swala yaani masai)

2.Masai anauza mizizi , mikanda , na viatu ambavyo I think soko lake lipo chini sana kwa hiyo Bado hatengenezi pesa3. Masai anataka achunge ng'ombe ambao Dunia ya sasa hawana soko, wanapoteza muda mwingi kuwachunga na Kwa mabadiliko ya hali ya hewa na ongezeko la watu duniani, sion kama masai atendelea na huu mfumo wa kuchunga, je kwa life style ya masai nini hatma yao
Nimekuona hamnazo uliposema dunia ya sasa ng'ombe hawana soko.

Ukiona kitu hukielewi ujue hakikuhusu.
 
Kwa haya mabadiliko ya tabia nchi na mabadiliko ya kijami yanayochochewa na teknolojia watabadika wenyewe bila kulazimishwa.
Bwana Loth, hilo sio kweli hata kidogo. Kwanza kabisa wanazo teknolojia zao, na ingawaje zinaweza kuonekana kama zimepitwa na wakati, bado ni za hali za juu.

Their connection to nature and sustainable practises, means they can do without the 'technology' you're refering to today.
Watoto wao wanasoma, wakiwa wasomi huachana na mila zao za kienyeji
...ni vigumu sana kumkuta mmasai aliyesoma halafu aka achana na mila zao za kienyeji. mfano mzuri ni mwendazake Lowasa.

Tambua pia elimu wanayopata nje ya mfumo wa Elimu unayoijua wewe, ni elimu pana kushinda hata unayo ijua. Huwezi kuwafikia kwa elimu.

Elimu ya Wamaasai kwa ulinganishi ni sawa na Masters au Doctoral- nadiriki kusema hivyo🤯
 
Ukabila Hauna maana yoyote kwa dunia ya sasa, lakini Bado zipo jamii zimekumbatia sana Mila na desturi zao , masai ni Moja wapo.

Tupo Dunia ya kibepari ambayo inahitaji akili nyingi na macho ya dhahabu ya kuona vitu na fursa, stori za sasa ni pesa pesa pesa. Cha ajabu kwa ndugu zetu masai mifumo Yao ya utafutaji imeathiriwa sana na Mila zao, masai anafanywa kivutio Cha utalii ( kwa wazungu wanamuona masai sawa na swala yaani masai)

2.Masai anauza mizizi , mikanda , na viatu ambavyo I think soko lake lipo chini sana kwa hiyo Bado hatengenezi pesa3. Masai anataka achunge ng'ombe ambao Dunia ya sasa hawana soko, wanapoteza muda mwingi kuwachunga na Kwa mabadiliko ya hali ya hewa na ongezeko la watu duniani, sion kama masai atendelea na huu mfumo wa kuchunga, je kwa life style ya masai nini hatma yao
Sijui umeokota wapi haya.
 
STOP THE GENOCIDE OF THE MAASAI PEOPLE IN TANZANIA.
 
Nimekuona hamnazo uliposema dunia ya sasa ng'ombe hawana soko.

Ukiona kitu hukielewi ujue hakikuhusu.
Inawezekana wewe ndio hamnazo kabisa, ngombe soko lake ni kubwa ila style ya wamasai kuchunga porini na kuhama hama watapata wapi malisho Kwa Dunia ya sasa
 
Mfugo hauna soko???are you serious mkuu
Mfugo una soko sana style ya uchungaji na aina ya mifugo yao inawakata, wewe unafuga ngombe hadi afikishe kilo mia mbili miaka saba, mwenzako anafuga mwaka na nusu kilo mia mbili sasa mtafanana
 
Ng'ombe gan unaosemea hawana soko? Wanapeleka ng'ombe komoro na nchi za jiran wewe unasema hawana soko? Na hakuna mfanya biashara wa ng'ombe anayeringa kama mmasai Kwa Sasa
 
Mwamba una dharau watu sana...ukitoka hapo utawananga wasukuma,wamang'at...etc
 
Ukabila Hauna maana yoyote kwa dunia ya sasa, lakini Bado zipo jamii zimekumbatia sana Mila na desturi zao , masai ni Moja wapo.

Tupo Dunia ya kibepari ambayo inahitaji akili nyingi na macho ya dhahabu ya kuona vitu na fursa, stori za sasa ni pesa pesa pesa. Cha ajabu kwa ndugu zetu masai mifumo Yao ya utafutaji imeathiriwa sana na Mila zao, masai anafanywa kivutio Cha utalii ( kwa wazungu wanamuona masai sawa na swala yaani masai)

2.Masai anauza mizizi , mikanda , na viatu ambavyo I think soko lake lipo chini sana kwa hiyo Bado hatengenezi pesa3. Masai anataka achunge ng'ombe ambao Dunia ya sasa hawana soko, wanapoteza muda mwingi kuwachunga na Kwa mabadiliko ya hali ya hewa na ongezeko la watu duniani, sion kama masai atendelea na huu mfumo wa kuchunga, je kwa life style ya masai nini hatma yao
Kuwajadili watu wanaoishi kwa jasho lao hata haileti mantiki.
 
Ukabila Hauna maana yoyote kwa dunia ya sasa, lakini Bado zipo jamii zimekumbatia sana Mila na desturi zao , masai ni Moja wapo.

Tupo Dunia ya kibepari ambayo inahitaji akili nyingi na macho ya dhahabu ya kuona vitu na fursa, stori za sasa ni pesa pesa pesa. Cha ajabu kwa ndugu zetu masai mifumo Yao ya utafutaji imeathiriwa sana na Mila zao, masai anafanywa kivutio Cha utalii ( kwa wazungu wanamuona masai sawa na swala yaani masai)

2.Masai anauza mizizi , mikanda , na viatu ambavyo I think soko lake lipo chini sana kwa hiyo Bado hatengenezi pesa3. Masai anataka achunge ng'ombe ambao Dunia ya sasa hawana soko, wanapoteza muda mwingi kuwachunga na Kwa mabadiliko ya hali ya hewa na ongezeko la watu duniani, sion kama masai atendelea na huu mfumo wa kuchunga, je kwa life style ya masai nini hatma yao
Katika kutafuta pesa wako vizuri mno.. kuliko baadhi ya makabila. Ni majasiri wa kukamata fursa. Niambie ni fursa gani hawamo kabisa? Kila kabila lina utamaduni wao, na watu wenye maisha ya kawaida wanautumia kama fursa. Wengine kuchunga, wengine kilimo cha mkono, kuchonga vinyago nk. Ukisema kila mtu aachane na kazi au utamaduni wa babu yake utazalisha jobless wengi mno.. NAAMINI KATIKA KUBORESHA ASILI ILI IWE FURSA SIO KUIACHA NA KUIGA ZA WENGINE
 
Kila kabila likianza kudeka deka kama mtoto wa mwisho ,mbona itakuwa kazi.Kila mtu achape kazi kwa nguvu na kwa akili zake zote kwa manufaa yake na jamii yake.
 
Ukabila Hauna maana yoyote kwa dunia ya sasa, lakini Bado zipo jamii zimekumbatia sana Mila na desturi zao , masai ni Moja wapo.

Tupo Dunia ya kibepari ambayo inahitaji akili nyingi na macho ya dhahabu ya kuona vitu na fursa, stori za sasa ni pesa pesa pesa. Cha ajabu kwa ndugu zetu masai mifumo Yao ya utafutaji imeathiriwa sana na Mila zao, masai anafanywa kivutio Cha utalii ( kwa wazungu wanamuona masai sawa na swala yaani masai)

2.Masai anauza mizizi , mikanda , na viatu ambavyo I think soko lake lipo chini sana kwa hiyo Bado hatengenezi pesa3. Masai anataka achunge ng'ombe ambao Dunia ya sasa hawana soko, wanapoteza muda mwingi kuwachunga na Kwa mabadiliko ya hali ya hewa na ongezeko la watu duniani, sion kama masai atendelea na huu mfumo wa kuchunga, je kwa life style ya masai nini hatma yao
Ufugaji bado una soko kubwa na litaendelea kukua. Hoja ni kuwa, utaratibu wao wa ufugaji wa kuwa na mifugo wengi wanaolishwa misituni umeanza kuwa na changamoto. Kuna mabdiliko ya hali ya hewa na ongezeko la watu na kilimo ambavyo vimepunguza ukubwa wa maeneo ya malisho.
Hota hivyo, hoja hii sio kwa Wamasai tu ila jamii zote za kifugaji zinapaswa kubadili aina ya ufugaji. Pia muda wa kuishi kwenye hifadhi na maporini nao ni kama unaenda ukingoni.
 
Warudi walikotoka basi na wakishupaza shingo Tanga ni karibu, awamu ijayo Tunduma inawahusu
 
Back
Top Bottom