Nini hatma ya kipindi cha Polepole chenye tambo na majivuno ya koneksheni?

Superbug

JF-Expert Member
Jan 31, 2018
12,417
30,927
Humphrey Polepole kijana mzee mwenye kipindi channel ten siku za wikend ambacho ukikiangalia utaamini anasaidia wananchi ila kimsingi ni kipindi chenye majivuno majigambo ya Tambo za kwamba yeye ana PR kubwa.

Mtu wa makoneksheni serikalini ambapo anaweza kumpigia yeyote wakati wowote nchi hii na lazima ajibu maswali yake tit for tat.

Kwa uhalisia kabisa watu pekee ambao polepole hawezi kuwapigia simu nchi hii ni wanne tu:
  • Rais
  • Makamu wa Rais
  • Waziri Mkuu
  • Mkuu wa Majeshi
Wengine wote waliobaki nchi hii polepole anawapigia simu atakavyo na apendavyo.

Kipindi hicho kinamjenga polepole zaidi kuliko chama.

Mama yetu Rais SSH stuka, Hawa ndio walikuwa kwenye kampeni za 2025 polepole alikuwa anajiimarisha kisiri na kichinichini piga chini huo utopolo wa polepole mama.
 
Hata kamanda afande siro alishawahi kupigiwa simu usiku live kwenye television na mtu mwenye sura yake pesono mzee polepole.
Ila hawezi kumpigia simu usiku cdf au hata dgi wa tiss.
Ni mpuuzi sana yaani mtu unalazimisha umaarufu wakati umaarufu wenyewe unakukataa.
 
TV na Rasimu ya Warioba ndo iliyomjenga Polepole.

Ukimuondolea Polepole TV umemmaliza kisiasa.

Sioni point ya hicho kipindi hapo Channel ten zaidi ya kumjenga huyohuyo Polepole kisiasa.

Zipo namna ambazo chama kinaweza kufanya ufuatiliaji wa watendaji wake lakini si kwa stailibya Polepole kupiga simu, maana njia hiyo siyo sustainable
 
Hata kamanda Afande Sirro alishawahi kupigiwa simu usiku live kwenye television na mtu mwenye sura yake pesono mzee polepole.
Ila hawezi kumpigia simu usiku CDF au hata DG wa TISS.
watu kama hawa wanakuwa maarufu kwenye nchi yenye wajinga kama yetu tu. Nchi nyingine huyu sehemu yake ni wodi ya vichaa. Huwa naaangalia clip za nyuma alivyokuwa anakebehi ugonjwa wa corona anazungumza kama taahira hivi eti corona inabidi ikae kwa heshima ama iamue kuondoka yenyewe. Matokeo yake imesepa na viongozi wengi wa serikali akiwemo rais! Sasa ingekuwa nchi nyingine huyu angeshikwa na kupelekwa wodi ya vichaa.
 
TV na Rasimu ya Warioba ndo iliyomjenga Polepole.

Ukimuondolea Polepole TV umemmaliza kisiasa.

Sioni point ya hicho kipindi hapo Channel ten zaidi ya kumjenga huyohuyo Polepole kisiasa.

Zipo namna ambazo chama kinaweza kufanya ufuatiliaji wa watendaji wake lakini si kwa stailibya Polepole kupiga simu, maana njia hiyo siyo sustainable
Kabisa mkuu
 
Kalijimwambafai Sana kwa kutumia mwamvuli wa CCM na mwendazake Yani maded wote wakimwogopa ma DC wote walimwogopa ma rc wote walimwogopa wakuu wa taasisi na mashirika makubwa ya serikali walimwogopa kisa mbeleko ya mwendazake.
 
Back
Top Bottom