Nini hatima ya vijana wa taifa la Tanzania na matumizi ya pombe kali? Tujadili kidogo

Nini hatima ya vijana wa taifa la Tanzania na matumizi ya pombe kali? Tujadili kidogo

Benjamini Netanyahu

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2014
Posts
102,676
Reaction score
126,840
Hivi karibuni kumeshuhudiwa kuongezeka kwa matumizi makubwa ya pombe kali, hususa kwa vijana kati ya miaka 15 mpk 30, kubeti, uvutaji bangi, mirungi, movi za hovyo, miziki ya hovyo n.k, kama taifa tutegemee nini haswa?

Vijana wengi sahivi hawataki kazi wala hawana nguvu za kufanya kazi, ni wachache sn wanaokwepa huu mtego, hatuoni kama kuna hatari huko mbeleni?

  • Kutakuwa na wagonjwa wengi sana wa figo, ini na mapafu.
  • Taifa linapoteza nguvu kazi pamoja na walipa kodi.
  • Mmomonyoko wa maadili kwenye jamii unashuka kwa kasi sana.
  • Kuongezeka kwa wizi mitaani, n.k.
Karibuni wote, natamani Waziri Gwajima ni wanaFJ Wizara yake inahusika na hili kundi
 
Ni faida kwa wakoloni(wanasiasa) wetu. Wanapata sababu ya kugawana na kuuza vyoote kwa visingizio vya hakuna watu(nguvu kazi) wenye uelewedi(watoto wao wanalelewa shule za gharama au nje ili waje wa-take over)

Acha wasome Kayumba, waendeshe boda, wabeti, wajitwike kali....mwaka huu watapewa vitenge na tshirt, mixer 7,000
 
Hivi karibuni kumeshuhudiwa kuongezeka kwa matumizi makubwa ya pombe kali, hususa kwa vijana kati ya miaka 15 mpk 30, kubeti, uvutaji bangi, mirungi, movi za hovyo, miziki ya hovyo n.k, kama taifa tutegemee nini haswa? vijana wengi sahivi hawataki kazi wala hawana nguvu za kufanya kazi, ni wachache sn wanaokwepa huu mtego, hatuoni kama kuna hatari huko mbeleni?
1. Kutakuwa na wagonjwa wengi sn wa figo, ini na mapafu 2. Taifa linapoteza nguvu kazi pamoja na walipa kodi 3. Mmomonyoko wa maadili kwenye jamii unashuka kwa kasi sn 4. Kuongozeka kwa wizi mitaani n.k
Ukitaka kutajirika kwa haraka wakati huu wewe fungua kiwanda cha pombe kali au weka mashine za kubeti n.k, Je serikali yetu haioni hii hatari mbeleni? Naomba tuweke siasa pembeni tujadili kuokoa kizazi cha kesho. Karibuni wote, natamani Waziri Gwajima ni wanaFJ Wizara yake inahusika na hili kundi.
Tubaki hapo ktk Bold,tulipe Kodi , mengine tuwaachie Serikali wanunue machine za kuchuja damu
 
Ni faida kwa wakoloni(wanasiasa) wetu. Wanapata sababu ya kugawana na kuuza vyoote kwa visingizio vya hakuna watu(nguvu kazi) wenye uelewedi(watoto wao wanalelewa shule za gharama au nje ili waje wa-take over)

Acha wasome Kayumba, waendeshe boda, wabeti, wajitwike kali....mwaka huu watapewa vitenge na tshirt, mixer 7,000
Da mkuu hii ni hatari sn nguvu kazi ya taifa inapotea kwa kasi ya ajabu sn
 
Death favors no man,kila mtu atakufa wakati wake ukifika.Vijana hawajapenda kufika hii hatua ni makosa yaliyofanyika vizazi kadhaa nyuma au makosa ambayo jamii imefanya katika malezi(haya ni matokeo, tafuta chanzo ndio utapata ufumbuzi wa tatizo,matokeo hayana kazi sana kwenye kutatua tatizo bali chanzo chake)
 
Back
Top Bottom