Nini Hatima ya Chama cha DP baada ya Kifo cha Mtikila

Nini Hatima ya Chama cha DP baada ya Kifo cha Mtikila

Camilo Cienfuegos

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2015
Posts
19,296
Reaction score
68,376
Habari wana JF.
Baada ya Kifo cha Mchungaji Mtikila, ambaye alikuwa ni kiongozi wa chama cha Democratic Party (DP), chama hiko kimepata pengo kubwa sana.

Mtikila alikuwa ndio kila kitu ndani ya chama hiko, maana sikuwahi kusikia hata Katibu Mkuu wa chama hiko ni nani, je nini hatima ya mwelekeo wa chama hiko baada ya kuondokewa na kiongozi huyo?
 
Ndio chama kimekufa pia,chama kimeenda kuzimu pia maana aliekua anakiweka hai kafa na chama kimekufa.

Chama kilikua kinategemea kesi na mambo ya kipumbavu pumbavuu hivi kama kutukana watu na kukashifu watu kwamba ni wagonjwa,mwenye chama kafa yuko kuzimu na chama kimemfuata huko kuzimu.

DP na mwenye dp rest in hell..
 
Habari wana JF.
Baada ya Kifo cha Mchungaji Mtikila, ambaye alikuwa ni kiongozi wa chama cha Democratic Party (DP), chama hiko kimepata pengo kubwa sana.

Mtikila alikuwa ndio kila kitu ndani ya chama hiko, maana sikuwahi kusikia hata Katibu Mkuu wa chama hiko ni nani, je nini hatima ya mwelekeo wa chama hiko baada ya kuondokewa na kiongozi huyo?

Mind your own business! Hayakuhusu!!
 
Huyu hapa nasikia anachukua mikoba stay turned
293125_399618333421009_801864624_n.jpg
 
Habari wana JF.
Baada ya Kifo cha Mchungaji Mtikila, ambaye alikuwa ni kiongozi wa chama cha Democratic Party (DP), chama hiko kimepata pengo kubwa sana.

Mtikila alikuwa ndio kila kitu ndani ya chama hiko, maana sikuwahi kusikia hata Katibu Mkuu wa chama hiko ni nani, je nini hatima ya mwelekeo wa chama hiko baada ya kuondokewa na kiongozi huyo?

kuna vyama hapa nchini ni kama taasisi binafsi za watu
baada ya kifo cha mtikila hichi chama historia yake itakuwa ndo imekwisha
 
Habari wana JF.
Baada ya Kifo cha Mchungaji Mtikila, ambaye alikuwa ni kiongozi wa chama cha Democratic Party (DP), chama hiko kimepata pengo kubwa sana.

Mtikila alikuwa ndio kila kitu ndani ya chama hiko, maana sikuwahi kusikia hata Katibu Mkuu wa chama hiko ni nani, je nini hatima ya mwelekeo wa chama hiko baada ya kuondokewa na kiongozi huyo?
Mkuu mbona majibu yapo kwenye makolezo (bold)?Jibu ni dhahiri hakuna chama cha DiiPii tena!:glasses-nerdy:
 
dp sio chama ilikua biashara binafsi ya marehemu, nadhani unajua moja ya disadvantages kufanya sole trade ni kuwa biashara hufa pamoja na mwasisi wake!
 
Ndio chama kimekufa pia,chama kimeenda kuzimu pia maana aliekua anakiweka hai kafa na chama kimekufa.

Chama kilikua kinategemea kesi na mambo ya kipumbavu pumbavuu hivi kama kutukana watu na kukashifu watu kwamba ni wagonjwa,mwenye chama kafa yuko kuzimu na chama kimemfuata huko kuzimu.

DP na mwenye dp rest in hell..
Maneno yako yanaishi. Chama pia kimekufa
 
Back
Top Bottom