MONEY IS NOT EVERYTHING
JF-Expert Member
- Sep 11, 2024
- 2,041
- 2,861
Habarini za sahzi "thinkers" hvi karibuni kumekuwa na agenda ya "No reforms no election"kwa leo niombe tujadili hizi "Reforms" nini faida zake kwa wananchi katika kuleta maendeleo ya taifa, kupambana dhidi ya ufisadi, Rushwa, madawa ya kulevya, udini, ukanda,kujuana kuimarisha pato la taifa, kuondoa deni la taifa,kujenga Tanzania iliyo na umoja na mshikamano.
Kudumisha Amani,utunzaji wa mazingira, utoaji wa huduma bora kwa wananchi na Uboreshaji wa miundo mbinu,, mfano, Barabara, Afya, Elimu Reli na Anga. uboreshaji wa madaraja na mishahara kwa watumishi, Utoaji wa Elimu bora kwa wote bila ubaguzi,.
Kuimarisha pato la kila mmoja na maisha bora kwa kila mwananchi.??? Baada ya Kufanyika uchaguzi huru na wahaki, au njia ya kuwatengenezea viongozi ulaji.?? Mapovu hayarusiwi.
Kudumisha Amani,utunzaji wa mazingira, utoaji wa huduma bora kwa wananchi na Uboreshaji wa miundo mbinu,, mfano, Barabara, Afya, Elimu Reli na Anga. uboreshaji wa madaraja na mishahara kwa watumishi, Utoaji wa Elimu bora kwa wote bila ubaguzi,.
Kuimarisha pato la kila mmoja na maisha bora kwa kila mwananchi.??? Baada ya Kufanyika uchaguzi huru na wahaki, au njia ya kuwatengenezea viongozi ulaji.?? Mapovu hayarusiwi.