mwanamajimbi
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 601
- 152
2.3.6 mkuu
2.3.6 mkuu
Screen capture ndio nini naomba kuelimwishwa
Swadakta
Terminology hii huitwa jailBreak ukija kwenye Applie devices
yani kuvunja security mechanism na limitation iliopo kwenye simu na ukaweka vitu utakavo we
-all the best
Rooting ni kama formatting ila hapa inakua sio kufuta data ila unaifungua mifumo inayozuia cm yako kukubali kila aina ya installations.. Katika hali ya kawaida cm yko ina mifumo inayo controll/administer installations and other operations sasa ili uweze kugain full control ya usimamizi wa cm yko lazima ufanye rooting hapa unakua free from restrictions and u can operate ur phone at ur choice..!!!!!
Duu nomaall the best yako ina sound kama, AT YOUR OWN RISK
Jinsi ya kupiga tafadhalNi kupiga picha screen ya simu yako, ndo kama zile unaona watu wanatuma kutoka mitandao kama instagram nk.
Ni kupata taswira ya kilichopo kwenye kioo cha simu yako ambapo unakuwa na uwezo wa kuituma au kuitumia kama picha.