Kabisaa mkuuKumbe ni watani zangu Wanyampaa?
Kuna mtu hapo alikuwa kigogo kwenye idara Fulani ni mtu wa Singida dc kwa hiyo hako kamtaa wanyaturu wengi sana na kigogo huyo hapo maeneo no kwakeKwa nini hapo paliitwa hivyo?
Inawezekana palikuwa na Mnyalu anaanguswa hapoBoko Basihaya
Hahahah hiyo hapo kulikuwa na docho ya wanyaturu mzee. Basihaya ni neno moja.Inawezekana palikuwa na Mnyalu anaanguswa hapo
Ukiona nimenyamasa Basihaya niangusage ni sambi sako
🤣 you made my day🤣sijavaa suupi dada ameenda nayo mnadani
Hapo unapiga ngwara tu mzee 😃 sema wanakamata mimba fasta😃😃🤣 you made my day🤣