Nini chimbuko la jina Basi Haya?

Mlenge

R I P
Oct 31, 2006
2,125
2,291
Pana eneo Dar es Salaam linaitwa Basi Haya. Nini historia/sababu ya jina hilo?
 
Inawezekana palikuwa na Mnyalu anaanguswa hapo

Ukiona nimenyamasa Basihaya niangusage ni sambi sako
Hahahah hiyo hapo kulikuwa na docho ya wanyaturu mzee. Basihaya ni neno moja.

Mhehe angesema niangusage Ila saaambi sako mwenyewe na sijavaa suupi dada ameenda nayo mnadani😃😃😃😃😃 maana yake umeshakuwa alerted kwamba amekubali
 
Back
Top Bottom