Sijaelewa unamaanisha nini? Au ungefungua uzi wa hilo suala...[emoji63] [emoji63] [emoji63] [emoji63]Jamani naombeni mnisaidie suala la elimu bure hapa Tanzania Mimi nilidhani ni bure kweli lkn huku rukwa manispaa ya sumbawanga katika Shule ya msingi chem chem Mwl Mkuu anawagiza wanafunzi kununua kadi za maendeleo je fedha za elimu za elimu bure hazihusu manunuzi hayo na mm mwenyewe watoto wangu wameagizwa. nisaidieni mwenzenu kama hata huko kwenu yapo haya.
bhana eeeh msitutishe chuo tutaenda na clubs vile vile tutanenda alafu tuone kama tutasup.........
First year eeh..!! hata we ukijichanganya tutakutafuna tu, sisi sio watu wa mchezomchezoNaamini humu kuna wenzetu wametutangulia katika viwango vya elimu ...hivyo basi Naomba mtusaidie ni vitu gani huwafanya au kuwachochea vijana wengi wanapo ingia chuoni kubadilika na kujiingiza katika matendo machafu mfano ulevi, wizi na vingine vingi....
Na pia naomba mtusaidie ili mtu aweze kuepukana na vitendo hivi anatakiwa azingatie yapi???
Ushauri Tafadhari......
[HASHTAG]#Kwa[/HASHTAG] manufaaa ya first year woteee#
View attachment 416884
Ki......la......za....wa chuo cha vi....la....za...huo ndio ushauri pu...MBA..vu...ungesoma bila kucoment ungepungukiwa damu,????...First year eeh..!! hata we ukijichanganya tutakutafuna tu, sisi sio watu wa mchezomchezo
Ntapungukiwa damu nisipokutafuna, karibu chuo tukufunue sketiKi......la......za....wa chuo cha vi....la....za...huo ndio ushauri pu...MBA..vu...ungesoma bila kucoment ungepungukiwa damu,????...
[HASHTAG]#spendagi[/HASHTAG] ujinga atheeeeeee #
Ukute hapo chuoni unafunuliwa marinda tuu na vidume then unajishetua humu jfNtapungukiwa damu nisipokutafuna, karibu chuo tukufunue sketi
Unajifanya una busara huku kujiulizisha viswali wakati nimekuona jukwaa la wakubwa kule unafanya ujinga, we subiri tu ukapigwe miti huko, tena watu kama nyie ndo wale wa vyuo kama tuition centerUkute hapo chuoni unafunuliwa marinda tuu na vidume then unajishetua humu jf
Sent from my i3 using JamiiForums mobile app
Kafie mbele sh...o...g..a wewe kama unatafuta Mme sema fastaUnajifanya una busara huku kujiulizisha viswali wakati nimekuona jukwaa la wakubwa kule unafanya ujinga, we subiri tu ukapigwe miti huko, tena watu kama nyie ndo wale wa vyuo kama tuition center
DuuuuhKafie mbele sh...o...g..a wewe kama unatafuta Mme sema fasta
Sent from my i3 using JamiiForums mobile app