Nini chanzo cha mahusiano mengi kuvunjika?

Nini chanzo cha mahusiano mengi kuvunjika?

Wakuu,
Nimefanya utafti wangu mdogo kwa takribani miaka miwili,ambapo nimegundua kuwa mahusiano mengi huwa hayadumu kwa muda mrefu

Unaweza ukajiaminisha kuwa hili husiano nitajitahidi iwezekanavyo ili ildumu na lisivunjike,lakini wapi miezi kadhaa tu mahusiano yamevunjika

Wanaume ndio wahanga wa kuachwa sana sana,unaweza kuta umekapenda ka binti sayuni3 kwa dhati kabisa lakini utashangaa kanapoteza focus na wewe,mala niko busy,naumwa nitakutafta,ili mradi tu umuache.

Yamenitokea haya mambo ndo mana naandika hapa,unaachwa bila hata sababu

Wewe unafkiri nini chanzo cha mahusiano mengi kuvunjika(mapema)?

Wasaalamu.
Spare shop somewhere.
Usaliti
 
Mkuu acha tu pia kanitolea maneno ya kashfa na dharau mpaka najiuliza hivi huyu ndio yule mtoto tuliekuwa tukipendana sana🙄
Hawanaga shukrani hawa viumbe tena kama ni made in Uswazi basi hakuna lugha hauta isikia mzee
 
Hawanaga shukrani hawa viumbe tena kama ni made in Uswazi basi hakuna lugha hauta isikia mzee
Yeah ni binti ambae 90% ya maisha yake ameishi bila wazazi na kulala kwenye mageto ya wanaume kwake inaonekana ni kitu cha kawaida ni binti wa miaka 23 lakini inaonekana ana experiance ya mambo ya ngono kuniliko mimi
 
Back
Top Bottom