Nini chanzo cha mahusiano mengi kuvunjika?

Nini chanzo cha mahusiano mengi kuvunjika?

Holoholo-Baba Kijacho

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2023
Posts
6,797
Reaction score
13,964
Wakuu,
Nimefanya utafti wangu mdogo kwa takribani miaka miwili,ambapo nimegundua kuwa mahusiano mengi huwa hayadumu kwa muda mrefu

Unaweza ukajiaminisha kuwa hili husiano nitajitahidi iwezekanavyo ili ildumu na lisivunjike,lakini wapi miezi kadhaa tu mahusiano yamevunjika

Wanaume ndio wahanga wa kuachwa sana sana,unaweza kuta umekapenda ka binti sayuni3 kwa dhati kabisa lakini utashangaa kanapoteza focus na wewe,mala niko busy,naumwa nitakutafta,ili mradi tu umuache.

Yamenitokea haya mambo ndo mana naandika hapa,unaachwa bila hata sababu

Wewe unafkiri nini chanzo cha mahusiano mengi kuvunjika(mapema)?

Wasaalamu.
Spare shop somewhere.
 
Wakuu,
Nimefanya utafti wangu mdogo kwa takribani miaka miwili,ambapo nimegundua kuwa mahusiano mengi huwa hayadumu kwa muda mrefu

Unaweza ukajiaminisha kuwa hili husiano nitajitahidi iwezekanavyo ili ildumu na lisivunjike,lakini wapi miezi kadhaa tu mahusiano yamevunjika

Wanaume ndio wahanga wa kuachwa sana sana,unaweza kuta umekapenda ka binti sayuni3 kwa dhati kabisa lakini utashangaa kanapoteza focus na wewe,mala niko busy,naumwa nitakutafta,ili mradi tu umuache.

Yamenitokea haya mambo ndo mana naandika hapa,unaachwa bila hata sababu

Wewe unafkiri nini chanzo cha mahusiano mengi kuvunjika(mapema)?

Wasaalamu.
Spare shop somewhere.
Mahusiano na ndoa nyingi zinavunjika mapema ni Kwa sababu Moja KUU na ya msingi.

SABABU NI:
kushindwa kutambua Lugha yako ya kihisia ya mapenzi, na Lugha ya kihisia ya Mapenzi ya Mwenzi wako, ili ikurahisishie kuwasilisha upendo wako kwake Kwa Lugha anayo ielewa na kujaza hitaji lake la kihisia juu Yako.

Kila MTU ana lugha yake ya kutoa na kupokea upendo, Ikiwa hauitambui lugha yake ya kihisia ya kupokea upendo utajikuta ukiwekeza nguvu kubwa kuonyesha mapenzi Yako kwake Kwa Lugha isiyo yake na hivo kuishia kutoelewana kwani mmoja atakua anaeongea kichina na mwingine kiswahili.

hivyo baada ya upendo aina ya kwanza passionate love kumalizika na kurudi katika Hali ya kawaida, migogoro itakua sehemu ya ndoa/mahusiano yenu.


Usipoelewa uliza #counselor Maulid
 
Mahusiano na ndoa nyingi zinavunjika mapema ni Kwa sababu Moja KUU na ya msingi.

SABABU NI:
kushindwa kutambua Lugha yako ya kihisia ya mapenzi, na Lugha ya kihisia ya Mapenzi ya Mwenzi wako, ili ikurahisishie kuwasilisha upendo wako kwake Kwa Lugha anayo ielewa na kujaza hitaji lake la kihisia juu Yako.

Kila MTU ana lugha yake ya kutoa na kupokea upendo, Ikiwa hauitambui lugha yake ya kihisia ya kupokea upendo utajikuta ukiwekeza nguvu kubwa kuonyesha mapenzi Yako kwake Kwa Lugha isiyo yake na hivo kuishia kutoelewana kwani mmoja atakua anaeongea kichina na mwingine kiswahili.

hivyo baada ya upendo aina ya kwanza passionate love kumalizika na kurudi katika Hali ya kawaida, migogoro itakua sehemu ya ndoa/mahusiano yenu.


Usipoelewa uliza #counselor Maulid
fafanua zaidi somo lako limeishia njiani mkuu
 
fafanua zaidi somo lako limeishia njiani mkuu
Ok, Iko hivi.
Upendo umegawachika katika hatua KUU mbili au tatu ambazo ni👇

1, Upendo WA shauku/mhemko (passionate love), aina hii ni upendo wenye hisia Kali na mvuto WA kimwili.

2, Upendo WA kudumu, au upendo WA kimantiki (consummate love), mchanganyiko WA shauku, ukaribu na kujitoa Kwa Kila mmoja, unaoleta uhusiano thabiti na WA muda mrefu.

Asilimia kubwa ya mahusiano Huwa yanaanza na hatua hiyo ya kwanza, na Kwa bahati mbaya Aina hizo za upendo sio upendo WA kweli kwani huendeshwa na shauku ya hisia Kali ZENYE ukomo.
ndio maana baada ya passion hiyo kutamatika mapenzi hupungua na migogoro kuanza kutokea pasi na njia sahihi ya kuisolve.

Sasa upendo WA kweli ni WA aina ya pili consummate love, ambao unahusisha shauku, fikra, matarajio na kujitoa Kwa ajili ya mwenzako.

let nieleze Kwa UFUPI👇
Jambo la msingi na muhimu kufahamu nikwamba, katika Kila mwanadam ana mahitaji ya kihisia tunaweza kuiita tank la kihisia la upendo.
Ambalo MTU anapohisi kupata upendo Toka Kwa mwenzi wake, kiwango Cha ujazo katika tank lake la kihisia la upendo Huwa juu, na hapo hupata utulivu WA kihisia na katika Hali hiyo hautasikia tabia mbaya kwa MTU huyo zinazoathiri penzi hilo.

Ila Ikiwa hatahisi upendo na tank lake likiwa tupu, atalazimika kutafuta Sehemu ambayo anadhani atapata hitaji hilo la kihisia, Kwa sababu ni hitaji LA lazima.

Sasa ili kuhakikisha Unadumisha kiwango kizuri Cha hisia katika tank la upendo la mwenzi wako, ni lazima UUWASILISHE mapenzi Yako kwake Kwa Lugha anayo ielewa.

Kumbuka Kuwa, watu huzungumza Lugha tofauti za mapenzi, ni adimu kukuta mke na Mume wanatumia Lugha Moja ya mapenzi.

Hivyo basi kama unataka Kuwa na ndoa inayostawi vyema Kila siku, ni muhimu kujifunza na kuzungumza Lugha ya mapenzi ya mwenzi wako.

Wapi haujaelewa mkuu🙏
 
Chanzo cha mahusiano kuvunjika ni mahusiano kuanzishwa.
 
Back
Top Bottom