Nini chanzo cha mabifu na mama mkwe

KISS 100

JF-Expert Member
Apr 27, 2021
527
1,101
Waliolewa wengi Mara nyingi kunakua na magomvi yasioisha.Nimeona kwenye mtandao mwanamke anasema haolewi na bwana ambae mamamkwe yupo hair.
Nini chanzo cha mabifu ya mamamkwe na Mwali?
 
Wengi wao badala ya kubaki kama washauri kwa watoto wao walio oana wao wanataka kuingilia maamuzi na mambo yanavyoenda kwenye familia ya vijana.

Hi ni sababu wanaume wengi hawapendi wakwe zao kuwa/kuishi karibu, maana migogoro haiishi. Mpaka hiyo ndoa hamta furahia.
 
mama mkwe anaona mwanae kaoa nafasi yake itakua haipo, kitu asichokijua ni kua atabaki kua mama nafas yake ipo palepale kwa anayeolewa hutaka mume ancontrol yeye, yan hata mama yake mkwe asitatuliwe shida zake had ruhusa itoke kwake

hawa wote wanashindwana kwa sababu kila mmoja hajui nafasi yake na ukiona mkwe anamjibu mama mkwewe ujue hata mama yake hawezi mheshim

kunbe nikitulia naandikaga madini.
 
mama mkwe anaona mwanae kaoa nafasi yake itakua haipo, kitu asichokijua ni kua atabaki kua mama nafas yake ipo palepale kwa anayeolewa hutaka mume ancontrol yeye, yan hata mama yake mkwe asitatuliwe shida zake had ruhusa itoke kwake

hawa wote wanashindwana kwa sababu kila mmoja hajui nafasi yake na ukiona mkwe anamjibu mama mkwewe ujue hata mama yake hawezi mheshim

kunbe nikitulia naandikaga madini.
Na umeyaandika haswa. Kila mmoja akijua nafasi hakuna kitacho haribika. Sijawahi kuwa na ugomvi na mamakwe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom