Nini cha ziada tukifanyia ndani ya gari??

Nini cha ziada tukifanyia ndani ya gari??

Existentialist

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2013
Posts
554
Reaction score
377
Jana shemeji yenu kanishanganza kidogo, wakati tunatoka club almost saa nane na nusu hivi tukiwa tumefika sehemu ya parking home akanitaka tufanyie sex ndan ya gari.

Nimewahi kusikia watu wanafanya hivyo lakini nilijiuliza maswali mengi kwanini siku zote hajawahi kusema tufanye hivyo na wakati anajua kabisa sipendi gari yangu itiwe najisi.

Ndo kusema kuna mtu kamuonjesha kwenye gari sasa kajisahau?

Plzzz naombeni uzoefu wa mtu yeyote aliyewahi kufanyia ndani ya gari ni nini cha ziada kinapatikana ambacho siwezi kukipata nikifanyia mahali pengine?
 
Kubwa zima saa hizi unakuja na hoja za kitoto au ulitaka tujuwe una gari?
 
Mpe haki yake inaonekana kinywaji kilikuwa kimepanda wala usijiulize maswali mengi utakosa majibu au utapata majibu mengi sana.
 
Inaelekea wewe ni aina ya wanaume ambao ukionyeshwa style mpya unauliza nani kakufundisha....
 
Jana shemeji yenu kanishanganza kidogo, wakati tunatoka club almost saa nane na nusu hivi tukiwa tumefika sehemu ya parking hme akanitaka tufanyie sex ndan ya gari.....

Nimewahi kusikia watu wanafanya hvyo lakini nilijiuliza maswali mengi kwanini siku zote hajawahi kusema tufanye hvyo na wakati anajua kabisa sipendi gari yangu itiwe najisi...

Ndo kusema kuna mtu kamuonjesha kwenye gari sasa kajisahau??

Plzzz naombeni uzoefu wa mtu yeyote aliyewahi kufanyia ndan ya gari ni nini cha ziada kinapatikana ambacho siwez kukipata nikifanyia mahali pengine?

ukiona manyoya ujue kaliwa.
 
Pengine amesikia watu wakiongelea kugegedwa kwenye gari raha! Angekua amegegdwa tayari asingekuambia umgegede! Usiwe na fikra mbaya kwanza kugongewa jambo zuri inaonyesha unachogegeda kinavutia!!
 
garrrrryy yako ni aina gani? Ladha hutofautiana kulingana na aina ya garrrry.
 
Et kutia gar najisi!!!!! Kuna tofaut gan na kupeana ndani ya nyumba?
 
Sasa si ungemfanya upate majibu ya maswali yako
 
Cargo, hujatuambia lakini, utamu ulikolea?

Nilipotezea kama vle sijamsikia nikamshusha kwenye gari tukaingia zetu ndan ndo maana nataka kujua nn cha ziada nitakipata nikifanyia kwenye gari
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom