Kitendo cha ku do, kinamsisimko wa aina yake, kila kiungo cha Mwili kinashiriki kwenye kitendo hiki kwa ufanisi wa hali ya juu, kabla na wakati wa ku do damu uhakikisha inafika kila eneo la mwili kwa ajiri ya kupeleka chakula na oxygen.
Na kwa sababu ni kweli kwamba mara baada ya kitendo hili washiriki wanakuwa wamechoka sana, je inashauriwa kufanya mambo gani, kiafya au kisaikologia, japo ndani ya nusu saa baada ya kupiga bao.
1. Kuzungumza, asantee.., nimefurahi sana, wewe ni mtaalamu aisee... sijawahi furahi namna hii.. au story ndefu zaidi.
2. Kulala, kama usingizi ukija, basi sinzia huku mwili ukiwa huru kabisa.
3. Kukumbatiana, kung'ang'aniana
4. Kupata vinywaji, maji, juice, chai, energizers,vinywaji vikali, kula matunda, ama chakula kizito
5. watch movie, au habari
6. Chumba kuwa kitulivu au kufungulia mziki,
7. Kujisomea, kitabu, gazeti
8. Kuanza kufanya mawasiliano na outsiders, kwa simu kwa mfano.
9.
10.
ukimaliza first round piga push up ready for second round hii mambo ya story sijui, juice nikulemba visivyolembwa ,its all about kazi tu. ndo maana nyie masharobaro na wasomi wengi mnamegewa na wahuni ambao hawana formular zaidi kazi tu, wanasimamia baiskeli mpaka kwenye mteremko, nyie mnajifanya mnapumua mta pigwa kanzu sana na hizo MAGAZIJUTO ZENU.
unampongeza mtu unamwambia baby wewe mtamu ...teh anakujibu najua kila mtu ananiambia hivo...utakomaje..wewe potea zako eneo la tukio hata nguo kavalie kwenuJambo la kwanza kabisa ni kupongezana kwa kazi nzito mliyotoka kuifanya. Hii itamfanya kila mmoja kuona mwenzake amefurahia tendo.
Ila baada ya hapo ndio mambo mengine yanafuata kama vile;Kwenda kuoga baada ya varangati la hapa na pale ili kuuweka mwili safi. Pia kuufanya mwili uchangamke maana utakuwa umechoka kutokana na zile nenda urudi ulizokuwa unafanya.
Pia unashauriwa kupata kitu cha kulainisha koo(maji au juice) itahusika sana.
Baada ya hapo unaweza ukaupumzisha mwili(kwa kwa kulala) ila kama bado unajiona una nguvu unaweza kuendelea na mambo mengine. Kwa wale wapenzi wa kuangalia movie waangalie, kwa wale wapenzi wa kuchat ruksa.
Hayo ni mawazo yangu.
unampongeza mtu unamwambia baby wewe mtamu ...teh anakujibu najua kila mtu ananiambia hivo...utakomaje..wewe potea zako eneo la tukio hata nguo kavalie kwenu
ha haaa, rafiki yangu umenichekesha mno.unampongeza mtu unamwambia baby wewe mtamu ...teh anakujibu najua kila mtu ananiambia hivo...utakomaje..wewe potea zako eneo la tukio hata nguo kavalie kwenu
you said it all........As a gentleman, I personally would suggest the following immediately baada ya mzigo:
Act humane; try cuddling and if she loves kissing, why not? U could stroke her hair gently maintaining that eye contact ... women's eyes look sexy immediately after getting it good. I particularly love those that roll their eyeballs, tjoh!!! All n all make her feel appreciated through action n sio mambo ya kuambiana asante. Nawakilisha
mtaenda bafuni mara ngapi?Nyie watu wachafu kweli! First thing bafuni kuweka mambo safi!
Nyie watu wachafu kweli! First thing bafuni kuweka mambo safi!
ukimaliza first round piga push up ready for second round hii mambo ya story sijui, juice nikulemba visivyolembwa ,its all about kazi tu. ndo maana nyie masharobaro na wasomi wengi mnamegewa na wahuni ambao hawana formular zaidi kazi tu, wanasimamia naiskeli mpaka kwenye mteremko, nyie mnajifanya mnapumua mta pigwa kanzu sana na hizo MAGAZIJUTO ZENU.