golden heart
Member
- Jan 5, 2014
- 13
- 1
Nia yangu ni kuwa mwanajeshi wa jeshi la wananchi nini cha kufanya nikiwa JKT ili kutimiza ndoto zangu za kuwa mzalendo halisi na kujiunga na JWTZ?
mikazó;8666727 said:Tegemea kukaa huko miaka miwili then,urudi mtaani huna k2,wala pa kuanzia huna
Ndo kitu kinachonifanya nipachukie Jakata
Nia yangu ni kuwa mwanajeshi wa jeshi la wananchi nini cha kufanya nikiwa JKT ili kutimiza ndoto zangu za kuwa mzalendo halisi na kujiunga na JWTZ?