Nini Cha Kufanya Ukishagundua Mwenzi Wako Anatembea Nje

Mkuukwa kweli katika adhabu mbaya kuliko zote hii aliyoifanya huyu jamaa ni adhabu mbaya kuliko zote na mara nyingi hii huwa inaishia kutengana.

Mfano mzuri hata leo itokee kwako samahani kama hujoa au kuolewa utakuwa na mpenzi au mwenzi wako itokee siku moja umkute mwenzi wako analiwa au anakula uroda na mwingine wewe ufike uone na ushuhudie halafu uwaache waendelee kweli si itakuwa ndo automatic divorse hiyo?

Binadamu tumeumbwa kusemwa au kugombezwa kwa namna yoyte pale tutendapo kosa ili kesho na keshokutwa tujue kwamba tulichokifany si kizuri kabisa.Sasa unaponikuta natenda kosa halafu husemi kitu huoni kwamba nitakuogopa maana yake siku ya kujakuniadhibu itakuwa ni mauaji.

Mkuu;

Hakika tabia za watu zinatofautiana. Kama wewe ni Mwislamu au Mkristo kuna visa vingi sana katika Vitabu hivi vitakatifu.

Ninacho kisa kingine cha kweli ambacho Jamaa alimkuta mama live na mgoni wake akaruka dirisha na kukimbia.

Mume alimpiga saaaaaannnnaaaaa mkewe nusura afe. Wakati anampiga alifunga milango yote, alifungua tu baada ya kuona mamaa akawa kimyaaa. Nadhani alijua amekufa. Yule mama alipopelekwa hospali alikuwa bado mzima na akalazwa hospitali Mwezi mzima. Manesi wote walimzuia Mume kuja kumwona mkewe. watu wote walimchukia.

Mamaa alipoponaa kabisa, cha ajabu sana akarudi nyumbani kwa mumewe. Naam, Mume akamwomba radhi baada ya mazungumzo marefu sana yakaisha.

Sasa, ikitokea hata Mr. akakohoa au kupiga chafya mamaa anafikiri anataka kupewa mkong'oto mwingine kwa hiyo anashituka shituka.

Maisha bwana . . . We achaaa tuuuu.
 
Nafikiri kama muko ndani ya ndoa ni kumkanya then kama hakusikia unaweza kuachia ngazi.
 
Duh hii kali superman...nampa jamaa hongera sana. I cannot imagine kama ndo ingekuwa mimi...ningehama hata na nyumba kwa uwoga wa sijui nini kinachoendelea kichwani mwa jamaa. Nampa dadangu huyo hongera pia. Nimeipenda saa hii article, congrates! Naomba kuja chumbani tuongee kitu.

Dada samahani, ila signature yako inanipa wasiwasi kidogo. Kama hutamaind ifafanue pliz hata kwa kuni-PM
 
Back
Top Bottom